Afisa wa serikali adai UDSM ni chuo cha kata, kinazalisha wahitimu wasio na uwezo kiushindani

Afisa wa serikali adai UDSM ni chuo cha kata, kinazalisha wahitimu wasio na uwezo kiushindani

KWa hiyo ulitaka ujilinganishe na mchovu mwenzio?ukitaka kupiga hatua nzuri lazima uangalie aliyekuzidi na siyo masikini mwenzako
Misingi ya kujikomboa hasa kifikra inataka tuwe na vigezo vinavyojitgemea. Kigezo cha kufananish n wengjne kinaleta shida kwani wewe ni wewe na yeye ni yeye. Hii ideology ya kuangalia maendeleo ya ulaya kwenye engo yoyote ile inaleta shida kwan ndo inaleta utegemez na white superiority!
 
Kama udsm ni cha kata basi vyuo vingine Tanzania vitakuwa vya kijiji na kitongoji
Kwanza ukiwa abroad vyuo vikuu via Tanzania vinavyotambuliwa na jumuia za kimataifa cha kwanza kabisa ni UDSM, then SUA na muhimbili. Mfano researcher kutoka vyuo vya nchi zilizoendelea wakitaka research fellows huwa wanafikia kwanza UDSM alafu ndo waelekezwe kwamba waelekee vyuo gani watapata fellows wa theme husika.

Sasa wewe endelea kuliamini Hilo vuvuzela
 
Kama udsm ni cha kata basi vyuo vingine Tanzania vitakuwa via kijiji na kitongoji
Kwanza ukiwa abroad vyuo vikuu via Tanzania vinavyotambuliwa na jumuia za kimataifa cha kwanza kabisa ni UDSM, then SUA na muhimbili. Mfano researcher kutoka vyuo vya nchi zilizoendelea wakitaka research fellows huwa wanafikia kwanza UDSM alafu ndo waelekezwe kwamba waelekee vyuo gani watapata fellows wa theme husika.

Sasa wewe endelea kuliamini Hilo vuvuzela
Muhimbili ndio walau Huwa kipo kwenye list inafuata Ardhi na Sokoine
 
Ninarudia tena anaye underestimate nguvu ya UDSM Hapa nchini huyo hajui Mambo.
SEMA nini mambo ya siasa yanaingizwa Sana kwenye uendeshaji wa vyuo
 
Ninarudia tena anaye underestimate nguvu ya UDSM Hapa nchini huyo hajui Mambo.
SEMA nini mambo ya siasa yanaingizwa Sana kwenye uendeshaji wa vyuo
Afadhali hajaitaja makerere, ningeumia sana, lakini Kwa UD ni sawa ni kachuo ka kata
 
Kama udsm ni cha kata basi vyuo vingine Tanzania vitakuwa vya kijiji na kitongoji
Kwanza ukiwa abroad vyuo vikuu via Tanzania vinavyotambuliwa na jumuia za kimataifa cha kwanza kabisa ni UDSM, then SUA na muhimbili. Mfano researcher kutoka vyuo vya nchi zilizoendelea wakitaka research fellows huwa wanafikia kwanza UDSM alafu ndo waelekezwe kwamba waelekee vyuo gani watapata fellows wa theme husika.

Sasa wewe endelea kuliamini Hilo vuvuzela
Sasa wasipo vitambua hivyo vyuo watatambua vipi? Hivyo si ndo vyuo vikubwa hapa tanzania?

Lakini katika level ya kimataifa ni vyuo vidogo. Kugraduate UDSM hakukufungulii fursa kama kugraduate kwenye ivy league za USA au C9 za China
 
Afadhali hajaitaja makerere, ningeumia sana, lakini Kwa UD ni sawa ni kachuo ka kata
Hata ulipokuwa unasoma advance (kama ulisomea tz) dream yako kubwa ilikuwa ufanye vizuri ili uingie UDSM sasa ndo uelewe kwamba wakati UDSM kinakuwa cha kata vyuo vingine Hapa Tanzania vinakuwa vya kitongoji
 
Hii nchi ina raia wajinga kupindukia.

Mfano, mdogo fuatilia kinachoendelea kwenye uchaguzi wa TLS.

Wale ni mawakili tena wasomi, lakini japo wanajua ni nini Cha kufanya, wataacha kuchagua Mwabukusi ambaye ndiyo chaguo lao na kumpitisha mtu mwingine. Ukiuliza sababu? (Jibu lake ni aibu hata kuliandika hapa).

Haya turudi madani. Wewe ni mwanasheria, mfano yule wa Yanga. Timu imefunguliwa kesi mahakamani, mwanasheria anawashauri mabosi kwamba Yanga waende mahakamani kujitetea, lakini mabosi ya timu wanamwambia aachane na Magoma.

Baadaye Magoma anashinda kesi na Uongozi wa Yanga unatakiwa uondoke madarakani.

Hapa napo utamlaumu mwanasheria upumbavu wa uongozi uliokataa kufuata ushauri wa mwanasheria?

Unaweza ukawa msomi mzuri lakini unaowashauri wakagomea ushauri wako na mambo yakaenda mrama.

By the way, hakuna Kata imewahi kujenga chuo kikuu hapa Tanzania. Kama ipo nipewe jina lake.

Huyu jamaa wa Wang'ing'ombe naye ni bogus.

Hata kama labda kungekuwa na Kata yenye chuo kikuu, kwani Kuna tatizo gani mtu akisoma chuo hicho?

Tatizo letu bongo siyo wasomi bali ni mfumo wa maisha yetu na utamaduni wetu.
 
Back
Top Bottom