Afisa wa serikali adai UDSM ni chuo cha kata, kinazalisha wahitimu wasio na uwezo kiushindani

Afisa wa serikali adai UDSM ni chuo cha kata, kinazalisha wahitimu wasio na uwezo kiushindani

Mahali popote penye ujinga kuna fursa ; hata kama ni kwenye idara za chuo kikuu cha Dar es Salaam.
 
Hii nchi ina raia wajinga kupindukia.

Mfano, mdogo fuatilia kinachoendelea kwenye uchaguzi wa TLS.

Wale ni mawakili tena wasomi, lakini japo wanajua ni nini Cha kufanya, wataacha kuchagua Mwabukusi ambaye ndiyo chaguo lao na kumpitisha mtu mwingine. Ukiuliza sababu? (Jibu lake ni aibu hata kuliandika hapa).

Haya turudi madani. Wewe ni mwanasheria, mfano yule wa Yanga. Timu imefunguliwa kesi mahakamani, mwanasheria anawashauri mabosi kwamba Yanga waende mahakamani kukitetea, lakini mabosi ya timu wanamwambia aachane na Magoma.

Baadaye Magoma anashinda kesi na Uongozi wa Yanga unatakiwa uondoke madarakani.

Hapa napo utamlaumu mwanasheria upumbavu wa uongozi uliokataa kufuata ushauri wa mwanasheria?

Unaweza ukawa msomi mzuri lakini unaowashauri wakagomea ushauri wako na mambo yakaenda mrama.

By the way, hakuna Kata imewahi kujenga chuo kikuu hapa Tanzania. Kama ipo nipewe jina lake.

Huyu jamaa wa Wang'ing'ombe naye ni bogus.

Hata kama labda kungekuwa na Kata yenye chuo kikuu, kwani Kuna tatizo gani mtu akisoma chuo hicho?

Tatizo letu bongo siyo wasomi bali ni mfumo wa maisha yetu na utamaduni wetu.
Hii nchi wajinga ni wengi sasa Hadi waliosoma sheria mzumbe nao ni mawakili utegemee wawe na akili kweli hapana
 
Sasa wasipo vitambua hivyo vyuo watatambua vipi? Hivyo si ndo vyuo vikubwa hapa tanzania?

Lakini katika level ya kimataifa ni vyuo vidogo. Kugraduate UDSM hakukufungulii fursa kama kugraduate kwenye ivy league za USA au C9 za China
Tumeongea kwa level ya Hapa Tanzania
Ukiingia kwenye level za kimataifa utakuwa unaionea UDSM kwakuwa kwanza umasikini wa nchi unaathiri Sana mfumo mzima wa uendeshaji wake.
Lakin pamoja na kutokuwa chuo competitive duniani still nilitoka UDSM na nikapambanishwa na watu wa nchi zingine zinazoendelea dunia nzima nika meet vigezo vya kuingia kwenye chuo cha 60 duniani kwa ubora. Mind u nimetoka kwenye chuo kinachoitwa cha kata .
Msioijua UDSM ndo mnaibeza Ila Sisi mazao ya UDSM tunaijua ndani njee
 
Mnaosema amekosea tuonesheni kitu chochote kilichotokana na zao la UDSM,
Imetuletea mzee wa mimacho, mtu bora kabisa kutoka jalalani:-
Screenshot_20240802_110108_Google.jpg
 
Kwani uongo!
Mawaziri, makatibu wakuu na wakurugenzi wengi wanashindwa nini kusimamia miradi na nchi ikafanikiwa badala yake tunaleta DPW kuendesha bandari, misitu, mbuga za wanyama nk
Kwa system ilvyo TZ na ueleo wa watanzania (sio wasomi), hata ukimleta Bill Gate hafanyi kitu hapa TZ.
Kwani wasomi wengi wa miaka ya 1960 mpaka 1990, 50% ya wenye degree na zaidi ya 80% wenye masters na karibu 95% wenye PhD walizipata toka nje. Ndio tulipata nini? .....System, system, systeeemmmm!
 
Mpaka huyo vuvuzela anaitaja UDSM maana yake tayari ni chuo cha hadhi. Kwa nini hakutaja hizo saut et al a.k.a community colleges??
 
Huyo jamaa ajiandae kwenda kujiajiri maana tumbua kashalitia mchanga, lkn ndo ukweli wenyewe. Hebu emergine mtu anahitimu chuo kikuu na digree yake analudi mtaani kuwa boda boda.
 
Na uwezo niliojengewa pale UDSM umenipa skills za kupambana kitaa bila kuhangaika na Ajira za foleni na maisha yanasonga.
Karibu ni udsm
 
Tumeongea kwa level ya Hapa Tanzania
Ukiingia kwenye level za kimataifa utakuwa unaionea UDSM kwakuwa kwanza umasikini wa nchi unaathiri Sana mfumo mzima wa uendeshaji wake.
Lakin pamoja na kutokuwa chuo competitive duniani still nilitoka UDSM na nikapambanishwa na watu wa nchi zingine zinazoendelea dunia nzima nika meet vigezo vya kuingia kwenye chuo cha 60 duniani kwa ubora. Mind u nimetoka kwenye chuo kinachoitwa cha kata .
Msioijua UDSM ndo mnaibeza Ila Sisi mazao ya UDSM tunaijua ndani njee
Ulifundishwa na profesa kabudi? Maana alishasema pale ni jalalani
 
Msimbishie sana huyo afisa maana kabudi mwenyewe aliyesomea pale na kufundisha pale, alijisemea pale ni jalalani
 
Ulifundishwa na profesa kabudi? Maana alishasema pale ni jalalani
Sikupita kwa kabudi
Nilipita kwa Prof mmoja wa kijerumani pamoja na wengine wengi ambao wengine wamepelekwa wizarani
 
Baadhi ya Watanzania waliosoma marekani na kirudi na kua na impact kwenye taifa au kwenye biashara za familia zao, Mo Dewij, Kevin Twissa (vodacom na mitandao kadhaa) , watoto wa james rugemalira, mtoto wa mzee jambo, baada ya shule alikuta biashara iko hoi Kwa sasa jambo group jamukaya haishikiki, watoto wa shubash patel na esteem company wako viwango vya juu, hata sugu baada ya elimu ya mtaani marekani unaona kiakili yuko mbali sana kuliko ma dogiteri na wenye masters za kuzugia
Mtoto wa jamukaya ni yupi huyo?
 
Takataka kama hilo nalo linaponda udsm wakatil lenyewe ni ngumbaru tu.
 
Tumeongea kwa level ya Hapa Tanzania
Ukiingia kwenye level za kimataifa itakuwa unaionea UDSM kwakuwa kwanza umasikini wa nchi unaathiri Sana mfumo mzima wa uendeshaji wake.
Lakin pamoja na kutokuwa chuo competitive duniani still nilitoka UDSM na nikapambanishwa na watu wa nchi zingine zinazoendelea dunia nzima nika meet vigezo vya kuingia kwenye chuo cha 60 duniani kwa ubora. Mind u nimetoka kwenye chuo kinachoitwa cha kata .
Msioijua UDSM ndo mnaibeza Ila Sisi mazao ya UDSM tunaijua ndani njee
Kwa bahati mbaya watanzania hawajui wanachojadili. Nawaonea huruma! Hata kushindwa kwa ufanisi wa Mwendokasi watalaumiwa chuo kikuu UDSM. Watanzania badala ya kukitupia mawe UDSM, angalieni System ya nchi yenu - aka- Siasa.
UDSM ipo vizuri.
 
Kwa system ilvyo TZ na ueleo wa watanzania (sio wasomi), hata ukimleta Bill Gate hafanyi kitu hapa TZ.
Kwani wasomi wengi wa miaka ya 1960 mpaka 1990, 50% ya wenye degree na zaidi ya 80% wenye masters na karibu 95% wenye PhD walizipata toka nje. Ndio tulipata nini? .....System, system, systeeemmmm!
Ndio ukweli wapo kibao , hata huyo jamaa anayesema kaishia kuajiriwa na kulipa kiduchu licha ya kusoma nje .
 
Back
Top Bottom