Afisa wa serikali adai UDSM ni chuo cha kata, kinazalisha wahitimu wasio na uwezo kiushindani

Afisa wa serikali adai UDSM ni chuo cha kata, kinazalisha wahitimu wasio na uwezo kiushindani

Kaongea ukweli, si unaona yule dogo wa NALA amekua bilionea Kwa kutumia elimu ya marekani, halafu graduate wa UD hata awe na phd bado anatafuta ajira miaka yote hadi anakufa,
Na huu ndio ukweli wenyewe kabisaa!!




KAZI ni kipimo cha UTU
 
Punguani mkubwa,walinukuu taarifa ya Times Higher university ranking wanaofanya hiyo kazi Kila mwaka
Hata wakifanya hiyo ranking kila siku still naomba kujua how credible your source is kwenye maswala ya tafiti (maana hiyo kazi ya kupanga nani Bora nani zaidi lazima kuna utafiti ulifanyika) , walitumia njia gani na vigezo gani kufikia Hilo hitimisho.
Kama huwezi jibu haya maswali futa source yako.
 
Kuwaendekeza wapumbavu kama huyu ndiyo upumbafu wenyewe unapoanzia.

Kwani kasoma nini huyu ndugu asiyejulikana mwenye makasiriko na chuo kongwe hili hapa nchini?

Zawadini angali kuna mpuuzi anaendekezwa huku.
yaani wewe unavyomtukana kiuwa mpumbavu, yeye ndio anakuona mpumbavu wa kutupwa hata hawezi kukujibu.
 
Kaongea kitu kipo wazi, sijaona umuhimu wa mjadala kwenye alichoongea
Hakuna ambae amewahi kulinganisha elimu ya UDSM na elimu ya vyuo vikuu vya nje kwenye nchi zilizoendelea kwa sababu ni jambo lipo wazi
Hii nchi ukweli ni sumu.... kuna yule mhadhiri alisema UD kumekithiri rushwa za ngono, wakataka kumtia motoni, wakati kila mtu aliyepita chuo anajua hali ya rushwa ya ngono kwenye vyuo.

Tuna allergy na ukweli
 
yaani wewe unavyomtukana kiuwa mpumbavu, yeye ndio anakuona mpumbavu wa kutupwa hata hawezi kukujibu.

Kwani mpumbavu akiniona mpumbavu ni mimi, tatizo liko wapi ndugu? Wenye akili zao si wataangalia vigezo? Hebu ona hivi:

1. Kwanza huyu hajulikani kama wasiojulikana tu.

2. Bila CV tunamjua credential zake kukipiga dongo chuo chenye accreditation zake? Huo si ndiyo upumbafu wenyewe sasa kwa jina lake kabisa?!

Wewe hujawaona wenye kuwapiga madongo hadi kina Mandela au hata wenye Nobeli zao?

Kwamba hao nao watakuwa na wana majina au wasifu gani ndugu wa kuwafaa mno, zaidi ya ya kuwa wamejawa upumbafu?!
 
Kuwaendekeza wapumbavu kama huyu ndiyo upumbafu wenyewe unapoanzia.

Kwani kasoma nini huyu ndugu asiyejulikana mwenye makasiriko na chuo kongwe hili hapa nchini?

Zawadini angalia ndugu kuna puuzi linaendekezwa huku.
Mbona una hasira sana mkuu? Basi sawa….
 
Kuwaendekeza wapumbavu kama huyu ndiyo upumbafu wenyewe unapoanzia.

Kwani kasoma nini huyu ndugu asiyejulikana mwenye makasiriko na chuo kongwe hili hapa nchini?

Zawadini angalia ndugu kuna puuzi linaendekezwa huku.
Ni kiburi na dharau. Si ajabu alisoma sekondari na akafanya mtihani wa NECTA halafu analeta jeuri. UDSM, siku hizo, kilikuwa chuo bora na wasomi wake walitambuliwa na kuheshimiwa. Nakumbuka nlikuwa nje niliposema ninatokea TZ akatajwa Prof. Shivji. Huyu naye alisoma UDSM. Inakuwaje wasomi wa shule za kata watambuliwe nje? Ni kwa sababu ya umahiri wao.

Watu hutambuliwa kwa umahiri wao na sio kwa chuo alichosomea. Hivi, kwa mfano, mwanafunzi aliyetokea shule ya kata leo akafanya mtihani wa O Level NECTA akapata Div 1 ya pointi 7 naye tumdharau? Huyu jamaa ni brain washed. Wacha atoe maoni yake, anayo. haki hiyo
 
Ni kiburi na dharau. Si ajabu alisoma sekondari na akafanya mtihani wa NECTA halafu analeta jeuri. UDSM, siku hizo, kilikuwa chuo bora na wasomi wake walitambuliwa na kuheshimiwa. Nakumbuka nlikuwa nje niliposema ninatokea TZ akatajwa Prof. Shivji. Huyu naye alisoma UDSM. Inakuwaje wasomi wa shule za kata watambuliwe nje? Ni kwa sababu ya umahiri wao.

Watu hutambuliwa kwa umahiri wao na sio kwa chuo alichosomea. Hivi, kwa mfano, mwanafunzi aliyetokea shule ya kata leo akafanya mtihani wa O Level NECTA akapata Div 1 ya pointi 7 naye tumdharau? Huyu jamaa ni brain washed. Wacha atoe maoni yake, anayo. haki hiyo

Tumekuwa nchi ya ajabu sana:

Mbowe, Lissu nidhamu inaporejea wafundeni wafuasi heshima

Kwamba bila CV anasimama je wapi nani kusema nini na bado watu wakakenua?!
 
Back
Top Bottom