Boda wengi ni graduates wa UDsm.
😆😆😆hatar sn aiseehNiliandika uzi huku , Melo akafuta maana anajua wahaya wenzie ndio wanajisifu ila hamna kitu kichwani .
Au unajifanya huijui kazi yako?Unamaana hii ni ngeni kwako?
Nimekutana na Degree Graduate wa HR kutoka Mzumbe anauza Pub
Ungekuwa wa google kwanza basi?
Au unajifanya huijui kazi yako?
Kama nchi,inahitaji mijadalo mingi kama hii huwa napenda sana kuiona na kuifatiliaAfadhali hajaitaja makerere, ningeumia sana, lakini Kwa UD ni sawa ni kachuo ka kata
Wanafunzi wengi hapo ni weupe tuHata ulipokuwa unasoma advance (kama ulisomea tz) dream yako kubwa ilikuwa ufanye vizuri ili uingie UDSM sasa ndo uelewe kwamba wakati UDSM kinakuwa cha kata vyuo vingine Hapa Tanzania vinakuwa vya kitongoji
Kajamaa kajinga sana haka kama graduates wenzake.Usinifananishe na wenzako. Mlishaambiwa ni laana kwamba vipi walamba asali haiwahusu!