Kenya 2022 Afisa wa Uchaguzi aliyetoweka akutwa amefariki

Kenya 2022 Afisa wa Uchaguzi aliyetoweka akutwa amefariki

Kenya 2022 General Election
Waniambia uchaguzi huu ambao ulikuwa top 3 bora afrika nzima kwa transparency and fairness haufai kuigwa? Hata rais wenu mstaafu kafurahishwa na uchaguzi wetu.

Ni muhimu sana kuacknowledge the obvious.
Fairness wakati mwezako kazimishwa moto, kweli br , remember maisha iko moja haina spare..
 
Fairness wakati mwezako kazimishwa moto, kweli br , remember maisha iko moja haina spare..
Oya, braza

Demokrasia ni safari wala siyo destination. Hakuna uchaguzi sehemu yoyote duniani ambapo uchaguzi hukuwaga 100%. Mpe pongezi mwenzio akijaribu.

Poleni kwa famila ya mwendazake
 
Oya, braza

Demokrasia ni safari wala siyo destination. Hakuna uchaguzi sehemu yoyote duniani ambapo uchaguzi hukuwaga 100%. Mpe pongezi mwenzio akijaribu.

Poleni kwa famila ya mwendazake
Duuu pw mekubali
 
Kazi zingine ni nzuri wakati Hakuna uchaguzi, kazi ya jeshi ni nzuri kama Hakuna vita.
 
Akili mbovu kweli kweli SAsa ukishamuua binadamu mwenzio ndo utabadilisha matokeo
 
Mwili wa Mbolu ulipatikana na Wafugaji ukiwa unetupwa kwenye mto ambao kwa sasa ni mkavu.
Dada zake wawili wameweza kumtambua kwa mujibu wa Polisi kutoka kituo cha Loitoktok
Mwenyekiti wa IEBC Wafula Chebukati alisema afisa huyo alipotea Alhamis Agosti 11
Maafisa wa kuchunguza mauaji wamefika katika hifadhi ya maiti eneo hilo kuanza uchunguzi
 
Mwili wa Mbolu ulipatikana na Wafugaji ukiwa unetupwa kwenye mto ambao kwa sasa ni mkavu.
Dada zake wawili wameweza kumtambua kwa mujibu wa Polisi kutoka kituo cha Loitoktok
Mwenyekiti wa IEBC Wafula Chebukati alisema afisa huyo alipotea Alhamis Agosti 11
Maafisa wa kuchunguza mauaji wamefika katika hifadhi ya maiti eneo hilo kuanza uchunguzi
Uzi huu,haupati wachangiaji,kwa vile wengi walisema,uchaguzi wa Kenya ni huru,lakini mtu kama huyu,binadamu mwenzetu,amekatishwa maisha na watu,wasiojulikana.Mbali na visa vingi,alivyotaja Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi wa Kenya ,kwa maofisa wake,vya ku.kukamatwa na kuhangaishwa,pamoja na yeye.
 
Jana(juzi) Mwenyekiti wa IEBC ,Wafula Chebukati kabla kutangaza mshindi wa kura za urais alieleza ugumu waliokabiliana na akitaja pia kuumia, kupotea kwa watumishi wake, sambamba na vitisho ambavyo hata hivyo amesema havikuwakatisha tamaa na wametimiza majukumu kikamifu.
 
Nchi za kiafrika ukitoa South bado sana Trump aliongea ukweli watu wakamwona Chizi
Kweli kabisa mkuu....sioni mantiki ya kumuua mtu kisa ni uchaguzi,je huyo afisa alikuwa na impact gani katika matokeo Mpaka auwawe.....au alikataa kupokea mlungula WA wahusika hivyo kuonekana ni nuksi.....inafikirisha sana kwakweli
 
Kweli kabisa mkuu....sioni mantiki ya kumuua mtu kisa ni uchaguzi,je huyo afisa alikuwa na impact gani katika matokeo Mpaka auwawe.....au alikataa kupokea mlungula WA wahusika hivyo kuonekana ni nuksi.....inafikirisha sana kwakweli
Umesema vilivyo tusikae kimya.
 
Back
Top Bottom