Kikwajuni One
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 13,149
- 6,994
Inauma sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani kuuwawa kwa afisa ni tafsir ya uchaguzi kutokua huru?Uzi huu,haupati wachangiaji,kwa vile wengi walisema,uchaguzi wa Kenya ni huru,lakini mtu kama huyu,binadamu mwenzetu,amekatishwa maisha na watu,wasiojulikana.Mbali na visa vingi,alivyotaja Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi wa Kenya ,kwa maofisa wake,vya ku.kukamatwa na kuhangaishwa,pamoja na yeye.
Umeandika kiswahili gani hiki?.Yaitwa demokrasia, hapa chini wanampigia kura yule mbunge na mca wanaomtaka na ywaweza kua ametoka chama chengine. Kisha kura ya urais yakwenda kwa yule anayefaa kukalia hicho kitu.
Politics is local
Pamoja?
Mimi nilihisi hivyo kitambo, yale malumbano ya Ruto na Kenyatta yalikua maigizo tu.Uhuru amemrubuni Odinga, kuna mchezo umechezwa hapo, Uhuru ali-act kama yupo against Ruto but the reality wasn't like that!!
Upumzike kwa Amani.Mungu ndio muamuzi.Inauma sanaView attachment 2326724
La muhimu ni kwamba umenielwa, bwasheeeUmeandika kiswahili gani hiki?.