Montserrat
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 10,938
- 14,745
Level of civilisation of Angolans is very low, that why they are always in wars
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanajilinganisha na LonardoWareno wamechezea bahati hawa.!
Esperanca 1 Yanga 0Matokeo ya mwisho wa mechi yakoje?
Kwaleo Angola wameshinda 1-0Matokeo ya mwisho wa mechi yakoje?
Sisi East Africa inabidi tujifunze hizi fitina,wakija huku tunawapokea vizuri tukienda kwao wanatuanyia fitina
Kitendo cha sisi kuwa kimya ndio maana jamaa wanatuchezea watakavyo na CAF wamekaa kimya .Swala sio kufanya fitna kama wao
Solution ni awa wahuni wa caf wakomeshe upuuzi huu
Hawa waamuzi nao ni magoigoi tuu yananunuliwa sana inamaana awa wahuni wa caf awawaoni wanavyovuruga?