Africa Confederation Cup: Sagrada vs Yanga at Nelson Mandela Stadium

Africa Confederation Cup: Sagrada vs Yanga at Nelson Mandela Stadium

Popote ulipo, Jerry Muro, andaa sherehe ya wachezaji wa Yanga Africans ya kishinda VITA hii. Hii ni vita kubwa.
 
Yanga tuna timu nzuri tunapaswa kujifunza fitina ,timu zikija hapa tuzifanyie mizengwe kama wao wanatufanyia

Fitna inanoga timu ikianzia ugenini ili wakija kwetu tunawafanyia. Tuache kuendekeza ustaarabu kwa timu kama hizi.
 
Ilikua ni zaidi ya vita aise duhhhhh.
yanga+imefuzu.jpg
 
Hivi Caf haitumi mwakilishi kwenye mechi za haya mashindano!!!!!!!!
Huyu refarii duuuuuh hatari sana, ila na sisi tuache kuwa wakatimu kiasi hiki.
 
Hali si nzuri huko Sagrada maana wachezaji wa Yanga wamezuiwa kutoka uwanjani kutokana na fujo zilizoko nje ya uwanja baina ya askari na mashabiki wa Sagrada esperanca.
 
Hivi Caf haitumi mwakilishi kwenye mechi za haya mashindano!!!!!!!!
Huyu refarii duuuuuh hatari sana, ila na sisi tuache kuwa wakatimu kiasi hiki.
Kamisaa yupo labda kama kapewa chochote na Waangola
 
Back
Top Bottom