Africa Cup of Nations (AFCON) 2015 updates

Africa Cup of Nations (AFCON) 2015 updates

Nilikuambia umeona mbali sana kama mie. Dk 15 za kwanza ziliniambia hii mechi ni matuta
uliona walivyokuwa wanacheza,kama walikuwa wanaogopana kufungana,ila naona Ghana wanaelekea kulibeba
 
Kocha wa Ivory cost angetanguliza wataalam kama yaya na kalou
 
Kipa wa CIV anagalauka kabla ya kwenda golini...

Inaonekana kapata shida ya msuli...

Hadi sasa kila timu imepiga penati 4

Andre Ayew....anapataaaa

Ghana 3 - 2 CIV
 
Yaya Toure....anapataaa

Ghana 3 - 3 CIV

Mizunguko mitano imemalizika sasa ni piga nikupige...
 
Johnathan Mensah anapataaaa....

Ghana 4 - 3 CIV
 
Back
Top Bottom