Africa Cup of Nations (AFCON) 2015 updates

Africa Cup of Nations (AFCON) 2015 updates

Dakika ya 69. Tunisia wanapata goli la kuongoza mfungaji Moncer.
 
Cape Verde wanapata penalty dakika ya 76.Heldon anaipatia Cape Verde bao la kusawazisha. Goli 1-1
 
Katika mechi 4 zilizochezwa mpaka sasa ni Gabon tu imeifunga Burkina Faso 2-0 zingine 3 zimemalizika kwa sare ya 1-1.
 
Mechi moja tu imefuata nyayo za Simba nyingine zote hovyoo Sare kama za Yeboyebo mpaka sasa.
 

Leo tunawaona Afcon tunashangaa wamefikaje wakat tulikuwa tunawafunga, siku tukiwaona wanacheza world cup ndo tutastajabu zaidi. Hawa wenzenu wamewapata viongozi wa kuongoza chama cha mpira, huku kwetu tumewapata viongoz wa kuongoza chama cha wacheza kabumbu. Nafikiri ni mwaka wa pili sasa mfululizo hawa cape verde kushiriki haya mashindano ya caf, niliwaona kule kwa Madiba na mwaka huu tena kule E.Guinea.
 
[TABLE="class: table table-condensed no-margin, width: 654"]
[TR]
[/TR]
[TR]
[TD="align: left"]2015-01-19
[/TD]
[TD="align: left"]18:00
[/TD]
[TD="align: right"]Ghana
[/TD]
[TD="class: flag, align: right"]
[/TD]
[TD="align: center"]vs
[/TD]
[TD="class: flag, align: left"]
[/TD]
[TD="align: left"]Senegal
[/TD]
[TD="class: flag"]Estadio de Mongomo[/TD]
[TD]

[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]
[/TD]
[TD="align: left"]2015-01-19
[/TD]
[TD="align: left"]21:00
[/TD]
[TD="align: right"]Algeria
[/TD]
[TD="class: flag, align: right"]
[/TD]
[TD="align: center"]vs
[/TD]
[TD="class: flag, align: left"]
[/TD]
[TD="align: left"]South Africa
[/TD]
[TD="class: flag"]Estadio de Mongomo

[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
[TABLE="class: table table-condensed no-margin, width: 654"]
[TR]
[TD="align: left"]2015-01-19
[/TD]
[TD="align: left"]18:00
[/TD]
[TD="align: right"]Ghana
[/TD]
[TD="class: flag, align: right"]
[/TD]
[TD="align: center"]vs
[/TD]
[TD="class: flag, align: left"]
[/TD]
[TD="align: left"]Senegal
[/TD]
[TD="class: flag"]Estadio de Mongomo[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
[TABLE="class: table table-condensed no-margin, width: 654"]
[TR]
[TD="align: left"]2015-01-19
[/TD]
[TD="align: left"]21:00
[/TD]
[TD="align: right"]Algeria
[/TD]
[TD="class: flag, align: right"]
[/TD]
[TD="align: center"]vs
[/TD]
[TD="class: flag, align: left"]
[/TD]
[TD="align: left"]South Africa
[/TD]
[TD="class: flag"]Estadio de Mongomo[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Leo tunawaona Afcon tunashangaa wamefikaje wakat tulikuwa tunawafunga, siku tukiwaona wanacheza world cup ndo tutastajabu zaidi. Hawa wenzenu wamewapata viongozi wa kuongoza chama cha mpira, huku kwetu tumewapata viongoz wa kuongoza chama cha wacheza kabumbu. Nafikiri ni mwaka wa pili sasa mfululizo hawa cape verde kushiriki haya mashindano ya caf, niliwaona kule kwa Madiba na mwaka huu tena kule E.Guinea.
Ni kweli viongozi hawawezi kukwepa lawama wote wa Serikali pamoja na wale wa chama husika lakini pia wachezaji wenyewe.

Hata kwenye level ya familia ili familia yenu iendelee inabidi kujituma katika kuzalisha mali na ikibidi baadhi ya wanafamilia watoke kwenda sehemu zingine kutafuta mali au masoko ya mali walizonazo inaweza kuwa ni kwenda kijji kingine, wilaya nyingine, mkoa mwingine au hata nchi nyingine lakini kama wote mtabakia hapo hapo mlipozaliwa ustawi wa familia hauwezi kuwa mkubwa. Wachezaji wetu wanatakiwa wavuke mipaka ya Tanzania hata wasipoenda Ulaya lakini uwepo katika ligi mbali mbali za Afrika kama Afrika kusini, Afrika ya kaskazini au hata hapa kwa jirani zetu DRC tungekuwa nao wengi lazima wakihitajika timu ya Taifa wangeleta changamoto.

Angalia Zambia mwaka 2012 ilichukua Ubingwa nadhani ilikuwa na mchezaji mmoja tu ambaye alikuwa akicheza Ulaya (Emmanuel Mayuka) na mwingine China (Chris Katongo) lakini waliobaki kama takwimu zangu ziko sahihi walikuwa wakicheza hapa hapa Afrika wengi wakiwa TP Mazembe na wengine wakicheza ligi yao ya Zambia.

La mwisho ambalo linaweza kuwa labda ni sababu pengine ni genes tulizo nazo watu wa Afrika ya Mashariki pengine zina traits kidogo sana za kusakata soka kwa sababu ukiangalia sisi na majirani zetu kama Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, Msumbiji na Malawi hali zetu ni kama zinafanana fanana lakini bado nayo si sababu kubwa maana zingefanyika juhudi hizi traits zingeweza kufunikwa kwa mazoezi pamoja na msukumo ambao ungetoka kwa viongozi.

Na la mwisho hasa (lakini natania tu), labda maji na samaki wa bahari ya Hindi vina matatizo itabidi tuvifanyie uchunguzi.
 
Mpira unachezwa katikati zaidi huku pande zote zikiusoma mchezo.
 
Ayew anaipatia Ghana goli la kuongoza kwenye dakika ya 13.
 
Back
Top Bottom