Africa Cup of Nations (AFCON) 2017, Special thread

Alafu kwa halaiki kama ile alitakiwa angalau asalimie kwa kifaransaba agalau watu waamke...alikua kama vile yuko chumban anamuimbia zari....davido na yeye ni kanjanja tu
davdo yy si anajifnya mshua...ata dancers hajabeba
 

Kwa walio mbali na TV zao, Mechi ikianza tumia hii link kuangalia, kupitia simu yako, tablet au PC , Count down dakika chache zimebakia

>>
 
Booba French wanapronounce Buba anajua sana halafu aina yake ya mziki hatumii nguvu kabisa-sikujua kama ataperfom Afcon
 
Kwa uwanja mmoja
 
Hapa mnanichanganya ambae Niko njiani huku mnaponda wengine mnasikifia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…