Kama Nape (CCM) anasema mshindi Hatokani na kura za wananchi bali anaependa nini kifanyike....yaani mwananchi anampigia kiongozi anaefaa ila M/K wa ccm yeye anasema mtangaze flani...kwanini wasiitwe na Vinchi uchwara.Tutaitwa mpaka na Nepal sasa maana hakuna namna.