The Legacy
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 5,879
- 11,318
Hakuna aliekataa Uchumi wa Indonesia ni imara na ni mkubwa dogo.Leta uchumi wa Nchi yeyote ya Afrika unaikaribia hapa 👇View attachment 3088472
Seems mumekariri hamjui mnachoongea.
Asia ni
China
India
Indonesia
Swali wamefikaje huko? wew kwenda kupata mikopo nafuu yeye anapata Nini? Kuna vitu viongozi wenu hawawaambii hasa mashart ya hiyo mikopo.Samia alisema wanadharirika bado tu hufunguki.