Kama Nape (CCM) anasema mshindi Hatokani na kura za wananchi bali anaependa nini kifanyike....yaani mwananchi anampigia kiongozi anaefaa ila M/K wa ccm yeye anasema mtangaze flani...kwanini wasiitwe na Vinchi uchwara.Tutaitwa mpaka na Nepal sasa maana hakuna namna.
JPM hakuwahi kanyaga overseas yule jamaa.Hivi JPM amewahi kwenda kwenye huu udhalilishaji?
Hatari sana hii, tutabaki tu kuwa wasindikizajiTukizidi kuwa wajinga tutazidi kuitwa tu na kukusanywa kama kumbikumbi hata Singapore
Mbona Marekani hakusanyi Viongozi wa America kusini au Carribean kule kwa akina Panama? Africa ina viongozi wapuuzi nashangaa sana hata viongozi wapya kama yule wa Senegal still wanaingia kwenye mfumo. China ina uchumi mkubwa sana Asia, mbona haikusanyi viongozi wa Asia, au mbona hakusanyi viongozi wa America kusiniUchumi wa Indonesia ni nusu ya uchumi wa Africa. Na Indonesia Inatabiliwa kuwa miongoni mwa nchi zenye uchumi Mkubwa duniani
Ulaya ipi? Albania labda.Hata Tanzania inaweza kuita viongozi wa Ulaya
Afrika ni KUBWA JINGAEti Indonesia nayo inaitisha vikao na viongozi wa Afrika.
Wamefanya hayo Marekani, Rusia, Japani, Uingereza, nk.
Ni lini nchi moja ya Afrika itaitisha kikao na viongozi wa Ulaya au Asia? Yaani hao waje Afrika na ikibidi tuwaweke kwenye usafiri mmoja wakakutane na Rais wetu hapo Magogoni au Chamwino.
Sio kihivyo ,labda kwa sababu Africa is too poorMkuu usiichukulie poa Indonesia ni mojawapo ya taifa lenye nguvu kubwa za kiuchumi na kibiashara ulimwenguni.
Nimemuelewa mleta mada anashangaa hadi kina Indonesia kuitisha vikao na viongozi wa Afrika kwa sababu hadi miaka ya 1950 nchi nyingi za Asia mfano Korea Kusini, Indonesia, Malaysia na Singapole zilikuwa zinafanana uchumi na nchi za Kiafrika.Eti Indonesia nayo inaitisha vikao na viongozi wa Afrika.
Wamefanya hayo Marekani, Rusia, Japani, Uingereza, nk.
Ni lini nchi moja ya Afrika itaitisha kikao na viongozi wa Ulaya au Asia? Yaani hao waje Afrika na ikibidi tuwaweke kwenye usafiri mmoja wakakutane na Rais wetu hapo Magogoni au Chamwino.
Nchi za zinahitaji rasilimali za TanzaniaUlaya ipi? Albania labda.
Indonesia Ina Uchumi Mkubwa 2/3 ya Africa yote combined.Eti Indonesia nayo inaitisha vikao na viongozi wa Afrika.
Wamefanya hayo Marekani, Rusia, Japani, Uingereza, nk.
Ni lini nchi moja ya Afrika itaitisha kikao na viongozi wa Ulaya au Asia? Yaani hao waje Afrika na ikibidi tuwaweke kwenye usafiri mmoja wakakutane na Rais wetu hapo Magogoni au Chamwino.
Hizi zarau aiseeeeIndonesia Ina Uchumi Mkubwa kushinda Africa yote combined
Ndio uhalisia huo,msimamo uko hivi 👇Hizi zarau aiseeee
Niache nicheke kwanzaEti Indonesia nayo inaitisha vikao na viongozi wa Afrika.
Wamefanya hayo Marekani, Rusia, Japani, Uingereza, nk.
Ni lini nchi moja ya Afrika itaitisha kikao na viongozi wa Ulaya au Asia? Yaani hao waje Afrika na ikibidi tuwaweke kwenye usafiri mmoja wakakutane na Rais wetu hapo Magogoni au Chamwino.
Kama wewe hapo mtaani kwako unaitiwa ubwabwa na Tajiri wa mtaani sembuse Nchi kwenda kupata fursa za mikopo nafuu, biashara na Elimu?Viongozi wa Afrika kama matahira hivi,na Ya nakubali tu kwenda kama mazuzu.
Kwanini wao wasije Adis ababa Ethiopia?
Nashukuru Mungu kipaumbele changu sio Ubwabwa.Kama wewe hapo mtaani kwako unaitiwa ubwabwa na Tajiri wa mtaani sembuse Nchi kwenda kupata fursa za mikopo nafuu, biashara na Elimu?
Leta uchumi wa Nchi yeyote ya Afrika unaikaribia hapa 👇Nashukuru Mungu kipaumbele changu sio Ubwabwa.
Inaonekana Wewe unaweza mpeleka mkeo kwa jirani akakope kwa mashart nafuu
Back to the point.
There is no free lunch mdogo wangu.
Indonesia wanapata wapi pesa za kukukopesha wewe? Bila shaka ni kwenye kodi za wananchi wao.
Yaan mimi Nitoe kodi za wananchi wangu kukupa wewe kama mkopo nafuu bila mashart yoyote?
.