Africa inahita nchi moja wapo kuwa super power wa nchi zote, la sivyo! Congo itaendelea kuonewa na kila viongozi wa vinchi vya ajabu!

Africa inahita nchi moja wapo kuwa super power wa nchi zote, la sivyo! Congo itaendelea kuonewa na kila viongozi wa vinchi vya ajabu!

Bulelaa

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2024
Posts
1,342
Reaction score
3,247
Ndiyo!

Africa mpaka sasa sifahamu ni nchi gani ambayo viongozi wake wakikohoa, kina Kagame wanakaa kimya

Congo, watu wake wanapata tabu sana kwa vita ambavyo tangu nimekuwa na akili nasikia tu wanauwana na sababu kuu ni vijimajeshi vya nchi za Waafrica wenzao kutumwa kwenda kupora mali za nchi hiyo kinguvu,

Wacongo wanakufa, Sudani wanakufa, na hakuna sauti yoyote kutoka kwa viongozi mbalimbali wa nchi zetu za Africa

Hii inamaanisha hakuna taifa lenye uwezo kijeshi dhidi ya vi nchi vichokozi vinavyosababisha nchi zingine zisiwe na amani?

Ulaya licha kwamba wanaejeshi la pamoja, Lakini kuna mkubwa wao, huyo akikohoa, Ukraine inapata nafuu

Akikohoa, Asian inakaa kimya, America inaishi kwa amani, licha ya hivyo, bado hata huko Asia kuna super power wao naye akikohoa, Asia inatulia, vilevile mabara mengine, mfano hapo Middle, Israel na au Iran wakikohoa, Waarabu wa pande hizo wanatii!

Africa ni nani USA wetu, Israel wetu, Russia wetu na ama China wetu atakayekuwa akikohoa ili Congo iwe na amani?

Na kama wapo,

Mbona hatusikii?

Africa inahitaji super power wake wa kukohoa ili wengine waishi kwa amani
 
Congo, watu wake wanapata tabu sana kwa vita ambavyo tangu nimekuwa na akili nasikia tu wanauwana na sababu kuu ni vijimajeshi vya nchi za Waafrica wenzao kutumwa kwenda kupora mali za nchi hiyo kinguvu,
Sio Congo yote yaan unaposema Congo utadhani ni Congo yote kumbe ni kijieneo tu
 
Aliyekuambia Dunia ni sehemu ya furaha na amani nani...?ukiona inchi ina amani jua umekubari kupakwata na dudu washa .........
Upo kwenye kina kipi cha bahari we jini mla watu?

Alokwambia Dunia lazima iwe ya machafuko ni mkuu wenu wa anga bwana lusifa siyo?
 
Africa hamna akili. Angalia hata nyuzi nyingi hapa JF nyingi ni za uzinzi.
“Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.

— Mithali 6:32


Ili muendelee acheni uzinzi, mtunze akili zenu, msizipoteze akili zenu kwa wanawake


"Maneno ya mfalme Lemueli; mausia aliyofundishwa na mama yake.


Usiwape wanawake nguvu zako; Wala moyo wako usiwape wale wawaharibuo wafalme". Mithali 31: 1, 3
 
Africa hamna akili. Angalia hata nyuzi nyingi hapa JF nyingi ni za uzinzi.
“Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.

— Mithali 6:32


Ili muendelee acheni uzinzi, mtunze akili zenu, msizipoteze akili zenu kwa wanawake


"Maneno ya mfalme Lemueli; mausia aliyofundishwa na mama yake.


Usiwape wanawake nguvu zako; Wala moyo wako usiwape wale wawaharibuo wafalme". Mithali 31: 1, 3
Mkuu, umeoa?

Kama unamke unaweza kuwa unaelekea kuvuka hayo unayosema

Kama bado na unachukizwa na hizi mambo, upo sehemu nzuri, ila jitahidi kuuzuia moyo maana leo siyo kesho
 
Upo kwenye kina kipi cha bahari we jini mla watu?

Alokwambia Dunia lazima iwe ya machafuko ni mkuu wenu wa anga bwana lusifa siyo?
Screenshot_20240812-213709.png
 
Hakuna mtu mwingine ataleta super power na amani hapa Afrika kama sio wewe. Waliotutangulia kama Nkuruma na Nyerere walishasema Umoja wa afrika ndio utaleta uhuru wetu. Shirikisho(federation) ya Afrika au Afrika Mashariki iliyoanzishwa na watu na sio wanasiasa ni mojawapo ya njia ya kuleta amani, ustawi na super power
 
Ndiyo!

Africa mpaka sasa sifahamu ni nchi gani ambayo viongozi wake wakikohoa, kina Kagame wanakaa kimya

Congo, watu wake wanapata tabu sana kwa vita ambavyo tangu nimekuwa na akili nasikia tu wanauwana na sababu kuu ni vijimajeshi vya nchi za Waafrica wenzao kutumwa kwenda kupora mali za nchi hiyo kinguvu,

Wacongo wanakufa, Sudani wanakufa, na hakuna sauti yoyote kutoka kwa viongozi mbalimbali wa nchi zetu za Africa

Hii inamaanisha hakuna taifa lenye uwezo kijeshi dhidi ya vi nchi vichokozi vinavyosababisha nchi zingine zisiwe na amani?

Ulaya licha kwamba wanaejeshi la pamoja, Lakini kuna mkubwa wao, huyo akikohoa, Ukraine inapata nafuu

Akikohoa, Asian inakaa kimya, America inaishi kwa amani, licha ya hivyo, bado hata huko Asia kuna super power wao naye akikohoa, Asia inatulia, vilevile mabara mengine, mfano hapo Middle, Israel na au Iran wakikohoa, Waarabu wa pande hizo wanatii!

Africa ni nani USA wetu, Israel wetu, Russia wetu na ama China wetu atakayekuwa akikohoa ili Congo iwe na amani?

Na kama wapo,

Mbona hatusikii?

Africa inahitaji super power wake wa kukohoa ili wengine waishi kwa amani
Una point chief
 
Africa hamna akili. Angalia hata nyuzi nyingi hapa JF nyingi ni za uzinzi.
“Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.

— Mithali 6:32


Ili muendelee acheni uzinzi, mtunze akili zenu, msizipoteze akili zenu kwa wanawake


"Maneno ya mfalme Lemueli; mausia aliyofundishwa na mama yake.


Usiwape wanawake nguvu zako; Wala moyo wako usiwape wale wawaharibuo wafalme". Mithali 31: 1, 3
Vp kuhusu ambao ni mashoga huko ulaya na bado wanaendelea zaidi yetu,,maana kama ushenzi upo huko

Nadhan kuna sababu nyingine zaidi ya hiyo
 
Waafrica Hawana Akili Hilo ndio Shida Yani hili Bara ukilifikilia Sanaa Kuna Sehem Kuna Tatzo na Hilo Tatzo Sio Rahisi kuliona Coz unajichunguza Mwenyewe Sasa ukijichunguza Mwenyewe na kujikosoa ni Ngumu Sanaa Kupata majib Mwisho Wa Siku unabaki ukijipa matumaini huku Miaka Ukienda vizazi Hadi vizazi
 
Back
Top Bottom