Ongezeko la wachina katika Afrika linatokana na kwamba wanatupenda sana, na wanataka kutuendeleza?
Bila shaka kila mtu anajua wachina wanawachukia sana Waafrika. Kwa nini wanavamia kwa bidii sana bara la Africa?
Magufuli aliona wanachokiona wachina ambacho watu wa kawaida hawakioni.
Mwenye ufahamu aangalie hapa.
Baada ya haya yote, naona watu wanashadadia miradi ya kichina kana kwamba ni ushbiki wa mipira.
Karata iliyopo ni viongozi wetu kuona na kujali maslahi mapana ya taifa na siyo kujipendekeza kwa hawa watu ni wabaya sana. Ukoloni wao unaweza kuwa sawa na ukoloni wa waarabu.
Lakini je, sasa, kitu gani kifanyike?
Bila shaka kila mtu anajua wachina wanawachukia sana Waafrika. Kwa nini wanavamia kwa bidii sana bara la Africa?
Magufuli aliona wanachokiona wachina ambacho watu wa kawaida hawakioni.
Mwenye ufahamu aangalie hapa.
Baada ya haya yote, naona watu wanashadadia miradi ya kichina kana kwamba ni ushbiki wa mipira.
Karata iliyopo ni viongozi wetu kuona na kujali maslahi mapana ya taifa na siyo kujipendekeza kwa hawa watu ni wabaya sana. Ukoloni wao unaweza kuwa sawa na ukoloni wa waarabu.
Lakini je, sasa, kitu gani kifanyike?