Cannabis
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 11,557
- 33,535
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapumbavu the so called Viongozi wa Africa.
Nina uhakika akina mangungo walikua vizuri kichwani kuliko hawa akina mamgungo wa sasa amini na kwambiaWe unadhani akili ya muafrika wa leo ina tofauti sana na akili ya Chief Mangungo wa Msovero alie saini mikataba na Carl Peters mwaka 1885?[emoji23][emoji23]
Agiza mtori nikulipie pia nitakulipia king'amuzi kwa miezi mitatu mfululizo !!! Hilo ulilosema ndio tatizo letuMbona mmewasahau wahindi ? , These scum makes me sick , Africa hakuna viongozi kuna wapuuzi wasio na maono wala uchungu WA kweli Kwa nchi zao na wananchi , such a shity continent
Hakuna tofauti kabisaa aiseeWe unadhani akili ya muafrika wa leo ina tofauti sana na akili ya Chief Mangungo wa Msovero alie saini mikataba na Carl Peters mwaka 1885?😂😂
Bogus Point!Africa inahitaji sana viongozi wenye maono kama Magufuli tatizo viongozi wetu Africa wengi vilaza angalia kama Mugabe ,Mugabe alivunja mahusiano na wazungu akizani Mchina ndie rafiki wa kweli lakini kinachoitokea Zimbabwe saivi ni kilio.
uwezo mdogo huwezi elewaBogus Point!
Propaganda people paid yu for the work. [emoji23][emoji23][emoji23]Ongezeko la wachina katika Afrika linatokana na kwamba wanatupenda sana, na wanataka kutuendeleza?
Bila shaka kila mtu anajua wachina wanawachukia sana Waafrika. Kwa nini wanavamia kwa bidii sana bara la Africa?
Magufuli aliona wanachokiona wachina ambacho watu wa kawaida hawakioni.
Mwenye ufahamu aangalie hapa.
Baada ya haya yote, naona watu wanashadadia miradi ya kichina kana kwamba ni ushbiki wa mipira.
Karata iliyopo ni viongozi wetu kuona na kujali maslahi mapana ya taifa na siyo kujipendekeza kwa hawa watu ni wabaya sana. Ukoloni wao unaweza kuwa sawa na ukoloni wa waarabu.
Lakini je, sasa, kitu gani kifanyike?
Ajira zipi wewe, nyie mtapewa vibarua vya malipo ya kinyonyaji wachina ndio watapeta tu humo maofisini na itakuwa restricted zone ambayo wanaingia government officials tu na vibarua!Kama ni wawekezaji wanaotoa ajira kwa vijana basi tunawakaribisha
Alaumiwe Mbowe!
Ndiyo, tutawalaumu wakati mwingine hawatakuwepo, familia zao zitakuwa kwenye matabaka ya juu, kwa kuwa wanauza nchi kwa ubinafsi wa kujenga familia zao. Tufanye nini ili haya mambo tuyakomeshe? Hakuna lisilowezekana.Viongozi ndiyo wakulaumiwa...
Bogus Point!
Leo wakinipopoa, japokuwa wanadhani ukuwadi huo unawapa maisha na vizazi vyao, lakini wajue kwamba watejenga nyumba hawatazikalia, watalima mazao watavuna wengine, watalia kwa kiu huku wana visima, watafungiwa laana ya machozi ya Wafrica kokote waendako. Tena wajihadhari sana. Huu wanaofanya ni uuaji wa watu wasio na hatia. Damu za watu wanazozisaliti hazita waacha salama.Mkuu makuwadi wa mkataba wa bagamoyo watakuja hapa kukupopoa mawe, wachina wame infiltrate nchi za ulaya na australia. Majuzi hapa wazungu kule australia walikuwa wameshika mabango wanaandamana kupinga uvamizi wa wachina........mchina anataka ateke na awe na influence dunia nzima. Huku afrika na njaa njaa zetu atakuja hadi kujenga ikulu..........