Muafrika wa Leo anamtukana Mzungu wa Ulaya Magharibi na Mmarekani na Kumkumbatia Mchina na Mrusi kwamba eti ndio Marafiki wa Kweli😁😁😁
Ni aibu hata kuwaita hawa watu watuWafrika na waaarabu ni watu wa hovyo sana.
Sasa waamuzi wetu nao wanaona hivyo? Huyo msoga anavyolazimisha kuwapa bandari ya Bmoyo kwa miaka 100 ana matatizo ya ufahamu, ama ana agenda ya Mangunga?kwao wako wengi hd wanapangiwa watoto wakuza wameamua kuja africa cha ajabu wapo hd machinga wakichina africa wanajifanya kwamba ni marafiki hawa jamaa wanalao jambo africa
miaka 50 mbele hawa jamaa watakua wengi sn africa lazima wawe na makoloni yao hk
africa kwa ss hawa jamaa tuwatumie tu ku transfer technology kwakua wako vizur ila sio kuwapa mambo ya msingi katika nchi kama bandari viwanja vya ndege na vitu vingne katika nchi
wataingia kwenye historia kua wakoloni wa afrika
Ongezeko la wachina katika Afrika linatokana na kwamba wanatupenda sana, na wanataka kutuendeleza?
Bila shaka kila mtu anajua wachina wanawachukia sana Waafrika. Kwa nini wanavamia kwa bidii sana bara la Africa?
Magufuli aliona wanachokiona wachina ambacho watu wa kawaida hawakioni.
Mwenye ufahamu aangalie hapa.
Baada ya haya yote, naona watu wanashadadia miradi ya kichina kana kwamba ni ushbiki wa mipira.
Karata iliyopo ni viongozi wetu kuona na kujali maslahi mapana ya taifa na siyo kujipendekeza kwa hawa watu ni wabaya sana. Ukoloni wao unaweza kuwa sawa na ukoloni wa waarabu.
Lakini je, sasa, kitu gani kifanyike?
Alaumiwe Mbowe!Ongezeko la wachina katika Afrika linatokana na kwamba wanatupenda sana, na wanataka kutuendeleza?
Bila shaka kila mtu anajua wachina wanawachukia sana Waafrika. Kwa nini wanavamia kwa bidii sana bara la Africa?
Magufuli aliona wanachokiona wachina ambacho watu wa kawaida hawakioni.
Mwenye ufahamu aangalie hapa.
Baada ya haya yote, naona watu wanashadadia miradi ya kichina kana kwamba ni ushbiki wa mipira.
Karata iliyopo ni viongozi wetu kuona na kujali maslahi mapana ya taifa na siyo kujipendekeza kwa hawa watu ni wabaya sana. Ukoloni wao unaweza kuwa sawa na ukoloni wa waarabu.
Lakini je, sasa, kitu gani kifanyike?
tatz hloSasa waamuzi wetu nao wanaona hivyo? Huyo msoga anavyolazimisha kuwapa bandari ya Bmoyo kwa miaka 100 ana matatizo ya ufahamu, ama ana agenda ya Mangunga?
Lakini wana nia ya kuchukua ardhi Africa, maana kwao kama umeona clip hapo juu Ardhi ni tatizo.wachina wanaokujaga huku huko kwao
Ndiye aliyesafiri usiku kwa usiku kwenda china?Alaumiwe Mbowe!