Ajira zipi wewe, nyie mtapewa vibarua vya malipo ya kinyonyaji wachina ndio watapeta tu humo maofisini na itakuwa restricted zone ambayo wanaingia government officials tu na vibarua!
watu wanashindwa kuelewa vtu kwa mapana yake na ndio tatizo letu waafrica ,tunawaza tu kushibisha tumbo leo kesho itajisumbukia yenyewe, akili fupi hawaelewi kwann Magufuli alikataa mradi wa bagamoyo
Ajira zipi wewe, nyie mtapewa vibarua vya malipo ya kinyonyaji wachina ndio watapeta tu humo maofisini na itakuwa restricted zone ambayo wanaingia government officials tu na vibarua!