KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
Mkuu Retired,
Are you seriously writing this to mean what you wrote or it is just an avenue for you to spit the post election results hatred/ depressions?
A Tanzanian living in the lovely barrel country of that sort dare bad mouthing her majesty status anticipating its groins to wage civil war among themselves for unreasonable factors as mentioned thereof?
What do you mean by second wave liberation struggle from which dictatorship administration that gives you room spitting hatred on this grand fora?
Are you wishing the situation that is occurring in Abuja or Tigray to mushroom in Tanzania? You must be kidding to please your masters
It won't happen despite the concerted efforts you are attempting to emotionally influence the JF platinum members!!!
Hayo ni mawazo yako mfu na kukosa kufikiri kwa kina. Ethiopia kuna Lisu? Burundi kuna Lisu? Rwanda kuna Lisu?Ambazo Amsterdam na TL wataziongoza? Mnaota sana. Sababu hajapata madaraka basi mnataka mpate kwa civil wars? Muanze civil wars za kifamilia kwanza. Otherwise ni utopolo mtupu
Ni mjinga ndiye anayeweZa kusema Kagame anwatendea wanyarwanda haki, ni mjinga anayeweza kusema Jiwe anawatendea watanzania hakiHivi ukimwondoa kagame rwanda inarudi ilikotoka, ukinwondoa magufuli Tanzania inarudi ilikotoka. Kwa magufuli usituambie habari ya udikteta. Huyu mtu kawekwa na Mungu kutuongoza. Na watu aina ya magufuli hawatokei mara kwa mara. Ni mjinga tu anaweza asitambue potential ya huyu mtu
Ethiopia wanachongombania ni nini? Jimbo lililotaka kujitenga, limekuwa linatoa viongozi kwa muda mrefu sana. Kabila jingine limepewa dola, wameamua kuanzisha mapambano. And they will fail.Hayo ni mawazo yako mfu na kukosa kufikiri kwa kina. Ethiopia kuna Lisu? Burundi kuna Lisu? Rwanda kuna Lisu?
If you are not prepared to respect basic human rights, expect anything from the oppressed......
Wewe huna maana, nanikasema CDM? Nani ni Chadema?CDM hamjajipanga
Wewe huna maana, nanikasema CDM? Nani ni Chadema?
Hata CCM ikitenda kadri ya imani yangu ya haki, nitaiunga mkono! Mtu au chama chochote kikitenda kadri ya imani yangu ya HAKI, nitakuwa upande wao!Sababu wewe ni mshabiki kindaki ndaki wa chadema. Na umesema Tanzania ikiwemo.
Waulize waliopigana au wanaopigana mambo yanakuwaje.
Sio lazima mpewe dola. Anzisha biashar ya genge tujue moja
Kwa uelewa wako unahis kila anachoongea mtu mweupe n sahihi,# labda uwezo wako wa kufikiria ndo umeishia hapo#Kosa kubwa ni la wapigania Uhuru walitengeneza mifumo ya kuendelea kutawala na sio kuongoza.
View attachment 1638802
Kwa uelewa wako unahis kila anachoongea mtu mweupe n sahihi,# labda uwezo wako wa kufikiria ndo umeishia hapoKosa kubwa ni la wapigania Uhuru walitengeneza mifumo ya kuendelea kutawala na sio kuongoza.
View attachment 1638802
Issue si kasema nani, issue ni je anachosema ni kweli? Je Watawala wa kiafrika wanawaua waafika wenzao ili wabaki madarakani? Je watawala wa kiafrika wanawaibia waafrika wenzao kutumia madaraka yao?Kwa uelewa wako unahis kila anachoongea mtu mweupe n sahihi,# labda uwezo wako wa kufikiria ndo umeishia hapo#
Ndugu yangu syo kwamba ndan ya nchi yenye waovu hakuna mcha Mungu hata mmoja,# am sorry kwa hoja inayohusu iman but point n hv Kama Kuna watawala walikuw hvo, waliopo hvo, na watakaokuwa hvo, haimaanish all Africans hakuna mwenye uwezo au roho ya uongozi, angalia akina Mandela,Nyerere na wengineo, wale n wazungu? Explainations please?Issue si kasema nani, issue ni je anachosema ni kweli? Je Watawala wa kiafrika wanawaua waafika wenzao ili wabaki madarakani? Je watawala wa kiafrika wanawaibia waafrika wenzao kutumia madaraka yao?
Umewahi kusomakitabu hiki: Julius K NyerereNyerere
๐๐ Unaleta mambo ya kujua bro, v2 vngne unatumia logic tuu za kawaida syo mpaka uwe na reference, akil tuu ya kawaida unajua hii nyeusi hi nyeupe, but thanks nitakitafuta niongeze maarifaUmewahi kusomakitabu hiki: Julius K Nyerere
Servant of God or Untarnished tyrant? kitafute ukisome ndio utajua kuwa hujui
Kipi uongo hapo labda Kama huna akili ya utambuzi.Kwa uelewa wako unahis kila anachoongea mtu mweupe n sahihi,# labda uwezo wako wa kufikiria ndo umeishia hapo
Siwez kukulaumu labda uwezo wako wa kufikiria ndo umeishia hapo๐๐, huwez tofautisha hata black and whiteKipi uongo hapo labda Kama huna akili ya utambuzi.
Kwani we uoni Hali halisi au we ni kipofu.Kwani uoni watawala wa kiafrica wakiwafanya waafrika wawe masikini,sio wezi,awanuki damu za watu?Siwez kukulaumu labda uwezo wako wa kufikiria ndo umeishia hapo๐๐, huwez tofautisha hata black and white
Tatzo mshajiwekea mindset kuwa viongozi wote wa Africa ni the same, hata mzr mnamuona mbayaKwani we uoni Hali halisi au we ni kipofu.Kwani uoni watawala wa kiafrica wakiwafanya waafrika wawe masikini,sio wezi,awanuki damu za watu?
Huwezi ukawa mzuri Hali unafanya the sameTatzo mshajiwekea mindset kuwa viongozi wote wa Africa ni the same, hata mzr mnamuona mbaya
According to u unaona n the sameHuwezi ukawa mzuri Hali unafanya the same
WeziAccording to u unaona n the same