stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 7,134
- 4,556
Thinking capacity yako ni very very low! Kwahiyo mababu zetu waliacha wosia kuwa Jiwe aue watu, avuje sheria, Katiba, avunje haki za biadamu.. Where is Ben Saanane> Where is Azory Gwanda, Where is Alphonce Mawazo? We got the so-called independence to get Killed by Jiwe? to be oppressed by Jiwe?
View attachment 1640420
ivi kwann upinzani hua mnajionaga kwamba ndo mna akili nchi nzima hakuna, yaaani mnajiona kama nyie ndo mnaa akili kupita wananchi, nyie ni wapuuzi tu, eti nyie ndo mlikua mchoma ofisi zenu moto alafu mnaanaza kurusha makombora ccm! saaahv naona wimbo wenu wote where is ben saanene 😂 😂 😂 😂
- ivi ni kweli i nyie chama cha demokrasia na maendeleo ambacho mwenyekiti haruhusiwi kupingwa, kuondolewa na ukionyesha tu nia cha moto utakiona, juzi zitto alipost twitter anasema alifukuzwa uanachama akiwa barabarani, kwa kweli tua safari ndefu sana