Africa Sub Sahara Best University Ranking; Tanzania yaingiza Muhimbili na Ardhi

Africa Sub Sahara Best University Ranking; Tanzania yaingiza Muhimbili na Ardhi

UDSM ilikuwa miongoni mwa Vyuo vikuu 5 bora Africa kwa miaka mingi sana. Leo hii UDSM ipo nafasi ya 37 kwa Ubora barani Afrika, SUA nafasi ya 79, Muhimbili nafasi ya 89 na UDOM wanashika nafasi ya 123. Unadhani ni kwanini taasisi zetu za Elimu ya juu zinashuka na kipi Kifanyike?
download (11).jpeg

Lucas mwashambwa
 
UDSM hakuna chuo pale.. ni majengo na mikwara mbuzi miingi.

Wahitimu wa pale hakuna jipya hawana UBUNIFU.

Elimu Ya Tz ni kichekesho sana.
 
UDSM ilikuwa miongoni mwa Vyuo vikuu 5 bora Africa kwa miaka mingi sana. Leo hii UDSM ipo nafasi ya 37 kwa Ubora barani Afrika, SUA nafasi ya 79, Muhimbili nafasi ya 89 na UDOM wanashika nafasi ya 123. Unadhani ni kwanini taasisi zetu za Elimu ya juu zinashuka na kipi Kifanyike?
View attachment 2908100
Lucas mwashambwa
Hii post ilitakiwa iwekwe peke yake
 
UDSM hakuna chuo pale.. ni majengo na mikwara mbuzi miingi.

Wahitimu wa pale hakuna jipya hawana UBUNIFU.

Elimu Ya Tz ni kichekesho sana.
Kama nchi hiki ndio chuo chetu tegemeo, hata sisi ambao hatujasoma hapo lakini kinatuangusha sana. Kinazidi kuporomoka tuu. Hakina tofauti na vyuo vilivyoanzishwa miaka ya 2000. Research ni kitu muhimu kwenye ranking, vyuo vyetu vinafeli sana hapo.

Vyuo vyetu vingi website inakua sawa wakati wa kuapply tuu nje na hapo hamna kitu muhimu utapata. Chuo kinaporomoka lakini hakuna measure yoyote inachukuliwa. Chuo kimebaki na historia tuu lakini vitu vingine hakina tofauti na vyuo vyetu vya kata
 
Back
Top Bottom