African Football League Draw: Simba kuanza na Al Ahly

African Football League Draw: Simba kuanza na Al Ahly

Sawasawa

Hiyo link kama umeisoma utakubaliana na mimi kuwa Confederation Cup ni muunganiko wa michuano miwili Caf Cup na Winners Cup

Kwenye hiyo michuano miwili, Simba amefika fainali kwenye CAF Cup

Mashindano yakiyokuwa yanaanziahwa huku yalikuwa yanafata mfumo au maboresho yanayofanyika huko Ulaya.

Hilo Winners Cup ambalo tulikuwa tunacheza sisi na Ulaya pia lilikuwep

Kwa hiyo michuano mliyofika fainali nyie ni michuano ambayo imekuwa upgraded

Ni sawa na Club Bingwa Ulaya ambayo awali ilikuwa ikiitwa European Cup ukamkataa Bingwa wa muda wote Madrid ukasema kachukua UEFA champions league mara 8 tu kwasababu kabla ya 1992 hakukuwa na UEFA champions league
Mwaka gani? Au unachanganya na Abiola, maana haijawahi kuwa tournament iliyo andaliwa na CAF,yule mtangazaji wakati anaongea amesema Yanga ndio timu ya kwanza kuvaa medali kwa michuano iliyo andaliwa na CAF na commentator wa mbele huwaga kabla kushika kipaza, huwaga na rekodi zote kwenye mpango kazi wake.
 
Wewe sio mzima,hata nikikuuliza huyo demu alicho kiongea dk ya ishirini saba kwa Kiarab alikuwa anamaanisha nini huelewewi.
Ni dakika ya 19 sio 27 kama niliameandika hivyo basi nilighafilika

Sikiliza tena nimejaribu ku screen record hicho kipande lakini output haija catch sauti
 
Mwaka gani? Au unachanganya na Abiola, maana haijawahi kuwa tournament iliyo andaliwa na CAF,yule mtangazaji wakati anaongea amesema Yanga ndio timu ya kwanza kuvaa medali kwa michuano iliyo andaliwa na CAF na commentator wa mbele huwaga kabla kushika kipaza, huwaga na rekodi zote kwenye mpango kazi wake.
Abiola ndio nini?
 
Mwaka gani? Au unachanganya na Abiola, maana haijawahi kuwa tournament iliyo andaliwa na CAF,yule mtangazaji wakati anaongea amesema Yanga ndio timu ya kwanza kuvaa medali kwa michuano iliyo andaliwa na CAF na commentator wa mbele huwaga kabla kushika kipaza, huwaga na rekodi zote kwenye mpango kazi wake.
 
Back
Top Bottom