African leader taken ill, admitted to city hospital

African leader taken ill, admitted to city hospital

Basi inaonekana na wewe pia hujui maana ya neno treatment ni nini. If you have a disease that has no cure, then there is no treatment for that disease!. Treatment and pain management are two different games in health science.
The act of managing the pain is called TREATMENT weye mswahili na propaganda za kijamaa.
 
Mkuu iwe ukweli au tetesi, kwani nchi hii ya kipuzi aje? Hamna Govt Spokesperson to come clean? Madai kama haya sio upinge tu apa na mafeeling! There's a problem, where's is Tzs Presidential Press Unit to shed light? Ata kama yuko China watangaze??
Nimeona screenshot huko mitandaoni ya hio highlight news kutoka kituo cha TV cha Sabc nikashtuka aisee.
 
I just don get it... Yaan JPM aende kutibiwa Kenya pamoja na mdololo wa kidiplomasia uliopo!!! If it's true then TISS hawako sawa. Something is very wrong with our country's intelligence. Haiwezekani eti.
 
I just don get it... Yaan JPM aende kutibiwa Kenya pamoja na mdololo wa kidiplomasia uliopo!!! If it's true then TISS hawako sawa. Something is very wrong with our country's intelligence. Haiwezekani eti.
Ulitaka atibiwe wapi?
 
Hahahaha, Yale Yale ya kupenda sifa kwamba hata buses za BRT zilitengenezwa Kenya. Kenya hakuna Hospital hata moja yenye hadhi ya kuhifadhi maiti ya Magufuli, we have best Hospitals in comparison with yours, endeleeni kufiatilia maisha ya Magufuli kila siku, sisi hata kujua Uhuru amesema nini hatushughuliki, your leadership is useless here
 
Sasa si ungetwambia mapema, miaka 5 tunatembea na yale ma antena kumbe adui hata hayamtishi[emoji1]
Watu wengine wanadhani kile kidudu kinaogopa walinzi wenye mitutu ya bunduki...
 
Wote wapo wa chama na serikali.. PM anaanza ziara leo huko Njombe.
Kiongozi wa CCM ... ungekuwa specific kabisa ili upunguze wigo wa maswali.

Maana Tanzania ina viongozi wengi... wa vyama vya siasa, michezo, dini nk ..
 
Awamu ya 5 imeua sector ya afya.. imagine inasema imaongeza bajeti ya afya wakati huo huo inahimiza wananchi watumie mitishamba.
Inamana kumbe kenya wako vizuri zaidi kuliko . ishu ya huduma za hospiatal
 
Hapo si aliondoka Nkurunzinza?? sio mahala salama saaaana sema jamaa anawaogopa "mabeberu" anahisi watamuua
 
Kiongozi wa CCM ... ungekuwa specific kabisa ili upunguze wigo wa maswali.

Maana Tanzania ina viongozi wengi... wa vyama vya siasa, michezo, dini nk ..
CCM ndio Tz, Tz ndio ccm.
 
hii chanell inarohoongumu aisee
FB_IMG_1615373005905.jpg
 
Mkuu iwe ukweli au tetesi, kwani nchi hii ya kipuzi aje? Hamna Govt Spokesperson to come clean? Madai kama haya sio upinge tu apa na mafeeling! There's a problem, where's is Tzs Presidential Press Unit to shed light? Ata kama yuko China watangaze??
Yaani tiuache vitu vya maana tuanze kujibu KOT!? Seriously?
 
Back
Top Bottom