African leader taken ill, admitted to city hospital

African leader taken ill, admitted to city hospital

Binafsi siamini habari hii iliyochapishwa na Nation media group unless walete evidence lakini pia wewe wacha kupinga kwamba anayezungumziwa kwenye habari hio ni Magufuli. Soma hio article vizuri. Imesema wazi kuwa rais huyo amekuwa akipinga uwepo wa corona ila wiki mbili zilizopita akabadilisha msimamo na kukubali kwamba corona ipo. Halafu hajaonekana hadharani wiki mbili. Salva Kiir hajawahi kupinga uwepo wa corona. Magufuli tu ndio the only leader aliyepinga uwepo wa corona na juzi juzi akabadilisha msimamo na kuambia watu wavae mask. Halafu hajaonekana hadharani kwa siku kadhaa.

Onyango Obbo ndio mwandishi wa hii habari!

Hayo najina mengine sio.
 
As much as we all know he is in Nairobi, we also know that the TZ government will never admit it.
Once he gets a little better, he will be sneaked out at night, and then appear in a public event two days later.

The only way they can admit it if, God forbid, he were to die. Hapo hakuna cha kuficha.
 
As much as we all know he is in Nairobi, we also know that the TZ government will never admit it.
Once he gets a little better, he will be sneaked out at night, and then appear in a public event two days later.

The only way they can admit it if, God forbid, he were to die. Hapo hakuna cha kuficha.
Wa Kenya watatoa picha hivi karibuni kuna uhuru wa media Kenya na hizo habari zilisha zagaa subiria picha mda wowote
 
JPM hawezi letwa Kenya, take that to the bank! He has self pride! BTW why do u think Watanzania tunahusudu huduma zenu? We don't look at u as u have better health services than us! hell no! Kama gazeti hilo limesema hivyo sishangai likiwa-banned Tanzania kwa kuzusha! so JPM amekuwa akiumwa toka last month? Wacha usenge!

Magufuli may have pride, but he is not stupid.
The last president to have pride was Nkurunziza.
While his wife was flown to Nairobi for treatment, Nzurunziza opted not to. Now he is dead and buried.

Nairobi hospital has a world-class Covid facility built by the UN last year.
And even before that, it was still the best hospital South of Sahara, North of Limpopo.
 
Magufuli may have pride, but he is not stupid.
The last president to have pride was Nkurunziza.
While his wife was flown to Nairobi for treatment, Nzurunziza opted not to. Now he is dead and buried.

Nairobi hospital has a world-class Covid facility built by the UN last year.
And even before that, it was still the best hospital South of Sahara, North of Limpopo.
Rubbish;

Corvid-19 has no treatment! What a lie!
 
Kutoka mioyoni siupendi wimbo wa 'Niagieni' hasa wakiimba ' Niagieni na watoto wangu'. MUNGU tuepushe na hili janga la Corona.
 
Hapa Kenya mbona mlikuwa kama pussies, kwani wasingeomba msamaha angeifanyaje hiyo Citizen Tv? Au rais wenu ni muoga kiasi hicho?
Hawezi kulinda vyombo vyenu vya habari Hadi mnadhalilishwa hivyo?
Citizen TV ina nia ya kuexpand hadi Tanzania. Hata NMG, wanaogopa kutaja jina kwa kuwa hawataki kufungiwa jinsi walivyoifungia The East African
 
Kutoka mioyoni siupendi wimbo wa 'Niagieni' hasa wakiimba ' Niagieni na watoto wangu'. MUNGU tuepushe na hili janga la Corona.
Kawimbo kanaleta sononi sana, hada ukute watoto wenyewe hata shule hawajafikia robo ya safari... Huwa kananikumbusha sana sakramenti ya kitubio.

Tumwombe Maulana atuepushe na kiburi cha kudharau ushauri wa kitaalam kwa kutumia vyeo vya kisiasa...
 
The story is behind a paywall. I have paid so you don't have to.

==========

By Aggrey Mutambo & Washington Gikunju

What you need to know:​

  • Multiple sources confirmed that the leader who has reportedly been ailing since late last month.
  • The country has recently softened its stance on the pandemic.
The leader of an African country who has not appeared in public for nearly two weeks is admitted to Nairobi Hospital for Covid-19 treatment, even as his government remains mum on his whereabouts.

The leader, who regularly addresses church congregants and public rallies when inspecting or launching government projects, was last seen in public on February 27.

The Nation cannot disclose his name as officials from both governments declined to officially confirm his admission to Nairobi Hospital, citing diplomatic protocol.

Multiple sources, however, confirmed that the leader who has reportedly been ailing since late last month, flew to Kenya on Monday when his health deteriorated.

Tens of senior government officials and religious leaders in the country have died from suspected Covid-19 infections in recent weeks.

Last public appearance​

While addressing a gathering in one of his last public appearances, the leader advised his citizens to take precautions against the Covid-19 pandemic.

His government has, however, remained adamant against enforcing public health measures such as wearing face masks, sanitising and banning of large gatherings.

Opposition leaders who spoke to the Nation said diplomatic sources had indicated that the leader has been on a ventilator.

They chided government officials for holding onto information on the leader’s whereabouts and health.

Account of infections​

There has been no official information from the government on whether the leader is unwell or merely taking a break.

His government faced a lot of criticism over the way it handled the Covid-19 pandemic in since its onset early last year.

Unlike most countries across the world including Kenya and the rest in the continent, the country did not go into lockdown to slow down transmissions.

Health officials in that country do not give a daily account of infections.

It has also refused to tap into the supply of Covid-19 vaccines, arguing that the drugs need to be verified by local scientists and health experts first.

Mass hysteria​

In recent weeks, however, the country has softened its stance on the pandemic, its top officials arguing that it was managing mass hysteria, rather than denying the existence of the Covid-19 pandemic.

The change of tune came after the clergy mounted pressure for more disclosures about Covid-19 and measures to be put in place to stop its spread.

The Catholic Church in the Africa country recently said its top clerics had died from ailments with symptoms similar to those of Covid-19.

It then distributed guidelines to bishops of various dioceses on measures to protect themselves against Covid-19 while conducting mass, weddings, prayers and other services.

The World Health Organization has also repeatedly pressed the country to disclose its Covid-19 infection numbers and issue public warnings against the deadly virus.
Duuh.. Ni hatari
 
Citizen TV ina nia ya kuexpand hadi Tanzania. Hata NMG, wanaogopa kutaja jina kwa kuwa hawataki kufungiwa jinsi walivyoifungia The East African
kama ingekuwa ime expand tayari inge make sense.. ila kwa sasa ambapo ipo nch nyingine halafu kuamriwa kuomba radhi kwa habari ambayo hata haina kosa ni kukiuka hata sovereignity yenu
Kwa case ya NMG kutomtaja wa ni sahihi kwa kuwa hakuna official source, ila unaweza kushangaa wakambiwa waombe radhi na wakaomba
 
Vyombo vya habari vya Kenya vinadokeza kwamba viongozi mbalimbali wa nchi za kiafrica , hususan Kaskazini mwa Africa wanaendelea kuwasili Kenya kwa matibabu .

View attachment 1721490
Tunawaombea kwa Mungu ili awazidishie palipopungua .

Mungu ibariki Jamhuri ya watu wa Kenya .

Dah [emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787]
 
I can assure you kama taarifa zingekuwa za kweli, sasa hivi Kenya ingekuwa inatoa jino na hata lile gego kwa kicheko!!!
 


Mwingine ako njiani .....we shall take good care of him✊✊✊
 
Back
Top Bottom