game over
JF-Expert Member
- Jan 1, 2016
- 10,727
- 24,840
Sasa na wewe at your age do you really believe Magufuli will ever seek medical treatment in Kenya, are you serious?Utawasikia wakikuambia Tanzania Ina hospitali Bora Kuliko Kenya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa na wewe at your age do you really believe Magufuli will ever seek medical treatment in Kenya, are you serious?Utawasikia wakikuambia Tanzania Ina hospitali Bora Kuliko Kenya.
Kwasababu ya unafuu wa gharama sio kwa ubora wa matibabu, tena hao ndo wakenya masikini tabaka la chiniWakenya wenyewe wanavuka boda Tz kupata matibabu Kcmc na Selian..
🤣 🤣 🤣 dah. Watu washapata pa kutolea povu tayariTatizo Magu naye kazidi ujuaji...
Ambao ndio 95% ya Wakenya,Kwasababu ya unafuu wa gharama sio kwa ubora wa matibabu, tena hao ndo wakenya masikini tabaka la chini
Hospitali za serikali za Tanzania zinahuduma nzuri kuzidi za Kenya huo ndiyo ukweli. Ukiona mtz amepelekwa Kenya ni wale wanaotumia insurance cover na mara nyingi wanawapeleka Aga Khan Hospital wala si hospital za Serikali.Propaganda zao zinaumbuliwa na facts kila uchao.
Sasa na wewe at your age do you really believe Magufuli will ever seek medical treatment in Kenya, are you serious?
Pigia msitari hapo.COVID-19 sio ugonjwa wa kutafutiwa msaada wa kitabibu nje ya nchi. Hakuna nchi ambayo inauwezea kuliko nchi nyingine!
Hospitali kuu Tanzania inafunga tanuri la kujifukiza, unategemea nini zaidi. Heri kutibiwa NairobiKama ni kweli yuko hospitalized Nairobi! Hii aibu sijui Magu ataruka vipi hapa East Africa?
It will shows hospital facilities za Tanzania ni mediocre and local Kama nyimbo za Ken Wa Maria. [emoji16]
I agree with the Private Hospitals in Nairobi, kwa Public Hospitals Tz is the best, so far JPM will not seek treatment in Kenya, atatibiwa hata na Wanajeshi wa JWTZ but never is Kenya, he has been battling cardiac arrests for quite long and never stepped his foot out of Africa.Denial.
Ona Sasa umeanza kutetemeka. Si huwa munasema Muna hospitali Bora East Africa?I agree with the Private Hospitals in Nairobi, kwa Public Hospitals Tz is the best, so far JPM will not seek treatment in Kenya, atatibiwa hata na Wanajeshi wa JWTZ but never is Kenya, he has been battling cardiac arrests for quite long and never stepped his foot out of Africa.
Wakenya wenyewe wanavuka boda Tz kupata matibabu Kcmc na Selian..
Wakenya wenyewe wanavuka boda Tz kupata matibabu Kcmc na Selian..
Binafsi siamini habari hii iliyochapishwa na Nation media group unless walete evidence lakini pia wewe wacha kupinga kwamba anayezungumziwa kwenye habari hio ni Magufuli. Soma hio article vizuri. Imesema wazi kuwa rais huyo amekuwa akipinga uwepo wa corona ila wiki mbili zilizopita akabadilisha msimamo na kukubali kwamba corona ipo. Halafu hajaonekana hadharani wiki mbili. Salva Kiir hajawahi kupinga uwepo wa corona. Magufuli tu ndio the only leader aliyepinga uwepo wa corona na juzi juzi akabadilisha msimamo na kuambia watu wavae mask. Halafu hajaonekana hadharani kwa siku kadhaa.Wacha kuwa mpuuzi nawe lifungiwe for what? kwani African leader ni JPM Pekee? Binafsi nadhani atakuwa Salvar Kiir! Maana kushakuwa na hints zikiimplicate several officials ato his statehouse falling sick!
Kwanini unaamimi N.Korea ni Nchi ya Kipuuzi?
Magufuli hawezi kupelekwa kutibiwa Kenya au nchi yoyote ya jirani hata siku moja! Upuuzi mtupu huu.
Majuzi tu alikuwa anzunguka Dar akimaliza ziara yake kama wiki moja tu iliyopita kwa kufanya uteuzi wa Bashiru, lakini leo hii wanasema amekuwa anaumwa kwa mwezi mzima haonekani hadharani!
Kufa hafii ila atakubali kwamba corona ipo. Kakurupusha mwezie kutoka kwenye oksijeni ajitokeze hadharani, sasa ni wakati wake nayeye atoke sasa kuprove critics wake wrong!!!!!Tunaomba corona itutoe kimasomaso kwa kumswap huyu mtesi wetu
Ni afadhari tuongozwe na mwanamke wa kizanzibar kuliko huu utopolo
BEN SAA NANE,TUNDU LISU NA AZORY GWANDA.DUNIAN HUWEZ PENDWA NA KILA MTU,tumuombeeeMimi nazishangaa pande zote.
1. Hao waliomzunguka, nakubaliana nawe kuwa kuna wanafiki. Mbele yake wanamchekea na kumnyenyekea lakini nyuma yake wanamteta vibaya mno.
2. Wanaoonyesha furaha zao endapo atapoteza maisha!! Hiki ni kilele cha ujuha aisee. Hivi mtu utafurahiaje jambo limpatalo mwenzio wakati na wewe litakupata? Sijui ni akili za wapi tu hizi. Kifo hakina mwenyewe. Ni chetu sote. But oh well....