Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini unaamimi N.Korea ni Nchi ya Kipuuzi?Hujui chochote kuhusu TISS, unajipa umuhimu usiokuwa nao tu.Halafu hakuna nchi ya kipuuzi kama N.Korea.
Hii ni sawa na kuulizia mate mdomoniInamana kumbe kenya wako vizuri zaidi kuliko . ishu ya huduma za hospiatal
Kwanini unafikiri ni watanzania na wala siyo wakenya?Sio mara ya kwanza viongozi wa Tanzania kuwa airlifted to Nairobi.
Hata mkewe Nkurunziza alitibiwa hapa Nairobi.
This was a few weeks ago
View attachment 1721594
Kupona kwq tundu lissu kumeipaisha sana hospital ya kenya hizi siku za karibuniVyombo vya habari vya Kenya vinadokeza kwamba viongozi mbalimbali wa nchi za kiafrica , hususan Kaskazini mwa Africa wanaendelea kuwasili Kenya kwa matibabu .
View attachment 1721490
Bado haijafahamika umahiri wa hospitali za kenya kiasi cha kuwavutia raia wa nchi zingine , bali tunatoa shukrani kwa wakenya kutokana na Ukarimu wao , Tunawaombea kwa Mungu ili awazidishie palipopungua .
Mungu ibariki Jamhuri ya watu wa Kenya .
Rejelea swali lililoulizwa. Kuna kitu kinaitwa "Comprehension".
Umeuliza ukajibiwa... unaanza ulinganisho tena?
Mataga wanapotaga tunapataga tabu sana
Raia gani hao wameumizwa?Ni kweli kila mtu hakosi ADUI ila ukiwa na maadui wengi tena wanaoonekana waziwazi inaleta FRUSTRATION sana.
Awamu hii imeumiza raia wengi mno kiasi kwamba people are not happy with their leaders
Rejelea. Wacha pupa.Lilete hilo swali.
Usiamini habari za mitandaoni.Inamana kumbe kenya wako vizuri zaidi kuliko . ishu ya huduma za hospiatal
Kwa dawa IPI?mbona nyie wenyewe mmekufa na Deportivo kama nzige?Mke wa Pierre Nkurunzinza aliletwa Kenya akatibiwa katika hospitali ya Aga Khan
Tundu Lissu alikuwa kiongozi piaNever: Kiongozi toka Tanzania hawezi kwenda kutibiwa Kenya hata siku moja.
Huu ni upuuzi mkubwa kabisa na kuyaka kujipatia umaarufu kirahisi.
Viongozi wote wa Tanzania wakuu wapo vizuri na wanaendelea na majukumu yao.
Wewe hujui Kenya uzalendo fake wa kitanzania unakusumbua......Kenya private medical facilities iko juu sana na madakitari bingwa wengi kutoka India na Europe, sema tu gharama zao.Kupona kwq tundu lissu kumeipaisha sana hospital ya kenya hizi siku za karibuni
Bado hakuna tiba ya Covid-19Mke wa Pierre Nkurunzinza aliletwa Kenya akatibiwa katika hospitali ya Aga Khan
Propaganda zao zinaumbuliwa na facts kila uchao.Utawasikia wakikuambia Tanzania Ina hospitali Bora Kuliko Kenya.
Wakenya wenyewe wanavuka boda Tz kupata matibabu Kcmc na Selian..Wewe hujui Kenya uzalendo fake wa kitanzania unakusumbua......Kenya private medical facilities iko juu sana na madakitari bingwa wengi kutoka India na Europe, sema tu gharama zao.