African leader taken ill, admitted to city hospital

African leader taken ill, admitted to city hospital

Watanzania bana, sasa uswahili wote huu ni wa nini? Hakuna Presidential Press Unit ikulu? Maanake uvumi hatari kama huu unapoibuka nchini Kenya, wakenya huwa wanawalazimisha PPU wawajibike kwa kutoa taarifa rasmi. Vitu vingine sio vya kukuzwa au kupuuzwa kwa uzembe na usiri wa kiboya tena usiokuwa na tija.
 
Kwani Magufuli Mungu ? si nae ni binadamu anaumwa siku moja tu ? si alituaminisha yale masauna pale Muhimbili yanafanya kazi ?
Hakuna aliyesema kuwa magufuli hawezi kuugua; soma vizuri! Kila mtu anawaza kuuagua ila hilo la yeye kwenda kutibiwa kenya siyo kweli kwa sababu kadhaa ambazo ziko wazi kabisa.
 
Binafsi siamini habari hii iliyochapishwa na Nation media group unless walete evidence lakini pia wewe wacha kupinga kwamba anayezungumziwa kwenye habari hio ni Magufuli. Soma hio article vizuri. Imesema wazi kuwa rais huyo amekuwa akipinga uwepo wa corona ila wiki mbili zilizopita akabadilisha msimamo na kukubali kwamba corona ipo. Halafu hajaonekana hadharani wiki mbili. Salva Kiir hajawahi kupinga uwepo wa corona. Magufuli tu ndio the only leader aliyepinga uwepo wa corona na juzi juzi akabadilisha msimamo na kuambia watu wavae mask. Halafu hajaonekana hadharani kwa siku kadhaa.
JPM hawezi letwa Kenya, take that to the bank! He has self pride! BTW why do u think Watanzania tunahusudu huduma zenu? We don't look at u as u have better health services than us! hell no! Kama gazeti hilo limesema hivyo sishangai likiwa-banned Tanzania kwa kuzusha! so JPM amekuwa akiumwa toka last month? Wacha usenge!
 
(Sikusakami ila najua vyema uvumi huu umekukuna roho ) Tupo kwenye mahusiano mabovu ya kidiplomasia na Kenya.Usishangae wao ni ndo kinara wakuzusha haya wakisaidiwa na fugitives Ngurumo na kundi lake, Mr Nyani we are at war japo selection ya weapon ya Kenya ni weak..Subversive is no longer paramount On the highly globalised gen.
Chura umesema kweli.

Nyani ndie kazidi ujuaji.
 
JPM hawezi letwa Kenya, take that to the bank! He has self pride! BTW why do u think Watanzania tunahusudu huduma zenu? We don't look at u as u have better health services than us! hell no! Kama gazeti hilo limesema hivyo sishangai likiwa-banned Tanzania kwa kuzusha! so JPM amekuwa akiumwa toka last month? Wacha usenge!
Media za Kenya zinamuogopa Magufuli maana Citizen TV ilipoleta habari yenye heading "ukaidi wa Magufuli" walilazimishwa kuomba msamaha kila siku kwa wiki nzima. Kwa hivyo usitegemee Nation media kumtaja Magufuli kwa jina maana Nation inaweza kuwa sued na gazeti lake la The East African kupigwa ban hapo Tanzania. Saa hii wamefanya vizuri kutomtaja jina ili wasilaumiwe baadaye na serikali ya Tanzania.
 
Mgonjwa huyu hapa
IMG-20210310-WA0025.jpg
 
Halafu wanajiona wana best services! Yaani JPM aumwe aache kwenda China as i know hawezi kwenda Western nations halafu aende Kibera!

Hapo ndio penyewe. Kenya wanapenda kujipaisha kupitia sisi hasa kwenye mitandao, especially Twitter.

JPM hawezi enda kwa surrogate state ama kwa Mabeberu.

Tunahuduma na hospitals za nguvu sana kuliko Kenya.
 
FYI hawezi kuja huko hata siku moja amekuwa akitibiwa Tanzania na ataendelea kutibiwa Tanzania! msijishaue! Yaani aache Mkapa hospital, MOI, Mloganzila na JKCI aje Kenya! seriously? mbona mna over exxagerate ur importance? Nyie ni wajinga kiasi gani?

Very stupid hawa jamaa.
 
Hakuna aliyesema kuwa magufuli hawezi kuugua; soma vizuri! Kila mtu anawaza kuuagua ila hilo la yeye kwenda kutibiwa kenya siyo kweli kwa sababu kadhaa ambazo ziko wazi kabisa.

sasa unadhan kwanini wanazusha ivyo ? lisemwalo lipo, kwan magufuli yupo wapi ??
 
Hizi tetesi ningejarihu kuamini labda mngesema hospitali ya mkapa ndio kapelekwa ila kenya hahahaha
 
Media za Kenya zinamuogopa Magufuli maana Citizen TV ilipoleta habari yenye heading "ukaidi wa Magufuli" walilazimishwa kuomba msamaha kila siku kwa wiki nzima. Kwa hivyo usitegemee Nation media kumtaja Magufuli kwa jina maana Nation inaweza kuwa sued na gazeti lake la The East African kupigwa ban hapo Tanzania. Saa hii wamefanya vizuri kutomtaja jina ili wasilaumiwe baadaye na serikali ya Tanzania.
Hapa Kenya mbona mlikuwa kama pussies, kwani wasingeomba msamaha angeifanyaje hiyo Citizen Tv? Au rais wenu ni muoga kiasi hicho?
Hawezi kulinda vyombo vyenu vya habari Hadi mnadhalilishwa hivyo?
 
Siamini, ndivyo ilivyo.
Nope, Unaamini, sababu hujawahi toka nje ya mpaka wa Tz, kwaiyo chochote unachohisi unafahamu kuhusu N.Korea ni sababu ya Kuaminishwa hivyo na Kuamini.
 
Never: Kiongozi toka Tanzania hawezi kwenda kutibiwa Kenya hata siku moja.

Huu ni upuuzi mkubwa kabisa na kuyaka kujipatia umaarufu kirahisi.

Viongozi wote wa Tanzania wakuu wapo vizuri na wanaendelea na majukumu yao.
EwGgQPiWgAMzqLk.jpeg
 
Back
Top Bottom