Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,370
- 14,929
hakupelekwa China akapelekwa kwa adui yake London, wakamalizana nae mapema tu.
Very strong irking claims.🤒
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hakupelekwa China akapelekwa kwa adui yake London, wakamalizana nae mapema tu.
Mbinu za N Korea hizi! Magu yuko zake sehem amepumzika! na kwa kiasi kikubwa TISS wamefaulu zoezi hili kwa ufasaha sana. Wameacha watu wahisi na kujiuliza maswali.
Hakika zile sehemu zilizokuwa zinatoa siri, naona sasa zimedhibitiwa! Heko TISS, Rais wangu endelea kupumzika.
huwezi kuelewa.Hujui chochote kuhusu TISS, unajipa umuhimu usiokuwa nao tu.
Since he is there, start negotiating with him on the maize issue!I think that is quite clear.
Lissu hakuropoka anajua hasimu wake alipo. Ni vizuri aijue Corona Vizuri ili apunguze ujuaji.
Kama tuko vitani, na adui katumia silaha ya uvumi/uongo kutushambulia basi amri jeshi mkuu wetu aibuke hadharani itakuwa silaha sahihi kabisa kwa hawa nyang'au na vibaraka wao wa twita. Mshitue mkuu atoe tu salamu kwetu tuliochagua na roho zetu zitatulia(Sikusakami ila najua vyema uvumi huu umekukuna roho ) Tupo kwenye mahusiano mabovu ya kidiplomasia na Kenya.Usishangae wao ni ndo kinara wakuzusha haya wakisaidiwa na fugitives Ngurumo na kundi lake, Mr Nyani we are at war japo selection ya weapon ya Kenya ni weak..Subversive is no longer paramount On the highly globalised gen.
Kabudi alimwita mheshimiwa MUNGU.Huyu jamaa anatisha zaidi ya Iddi Amin wa Uganda.
Yaani hata kumtaja jina lake hawawezi.
Wakenya mnaakili timamu kweli?
Connect ...I think that is quite clear.
Umeuliza ukajibiwa... unaanza ulinganisho tena?Kwa hiyo Tanzania ni sawa na Burundi??
Na anavyopenda publicity kwenye media na kusifiwa hatari,leo tumeambiwa anatakiwa awape nyota wajeda so watu wanasubiri kama atatokea au tetesi ni za kweli... and Lissu himself, two days ago, politely requested the TZ government officials to address the nation where is their president. He has not been on media nor public appearances for nearly two weeks now!!!. Lissu ni mbeba maono!!!
😂😂😂😂😂Hujui chochote kuhusu TISS, unajipa umuhimu usiokuwa nao tu.Halafu hakuna nchi ya kipuuzi kama N.Korea.
Kwenye mitandao ya nyie mataga ndio mnajua hayo ila kwenye govnt machinery uhusiano uko kawaida na approachable(Sikusakami ila najua vyema uvumi huu umekukuna roho ) Tupo kwenye mahusiano mabovu ya kidiplomasia na Kenya.Usishangae wao ni ndo kinara wakuzusha haya wakisaidiwa na fugitives Ngurumo na kundi lake, Mr Nyani we are at war japo selection ya weapon ya Kenya ni weak..Subversive is no longer paramount On the highly globalised gen.
Ndio raha ya sie wa upande wa pili kuona maccm yakiparuana.Kama anapitia mitandao ya kijamii kwa muda huu... nadhani ndo atawajua vizuri watu anaowaongoza... kuna kundi kubwa sana la wanafiki wamemzunguka... na hakika hao ndo vinara wa uvujishaji wa habari...
Inasikitisha sana kuona waliokuwa wanakuita chaguo la Mungu wanakugeuka ghafla, huku wengine wakikuombea mabaya...
Huenda hata 'ventilator' hospitali zetu hazipo?
Au ni maswala ya ku'manage' complications zingine zinazoambatana na COVID-19; vitu kama 'cardiac arrest', cytokine syndrome, n.k.!
Umedadisi jambo la msingi sana.