Mke wa Pierre Nkurunzinza aliletwa Kenya akatibiwa katika hospitali ya Aga KhanTangia lini wagonjwa wa COVID wakatibiwe nchi Jirani????
Cheap Propaganda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mke wa Pierre Nkurunzinza aliletwa Kenya akatibiwa katika hospitali ya Aga KhanTangia lini wagonjwa wa COVID wakatibiwe nchi Jirani????
Cheap Propaganda
Umeongea utumbo..Then kuchagua kwenda Kenya kimatibabu wakati Kuna tension Kati ya serikali ya Magu na Kenyatta ni hatari saana. Watamtandika sumu kuvu apumzike kwa amani.
The same na Nyerere alikataa asiende kutibiwa England ila mkapa akang'ang'ania then soon akafa hopsitalini. Nyerere aliona kwamba hawa jamaa niliwanyang'anya nchi haitawezekana wanipende at least nipelekeni China, hakupelekwa China akapelekwa kwa adui yake London, wakamalizana nae mapema tu.
Kumpeleka Magu Kenya wakati aliwachomea vifaranga vyao majuzi tu Ni bad card, hawajasahu wale watampatia sumu kuvu ya mahindi yule.
Msukule pekee utakaoenda nao kaburini huu hapa
Mungu si Athumani. Palepale alipolazwa Lissu, ndipo anapolazwa mfitini wake sasa. Omba toba sasa.Vyombo vya habari vya Kenya vinadokeza kwamba viongozi mbalimbali wa nchi za kiafrica , hususan Kaskazini mwa Africa wanaendelea kuwasili Kenya kwa matibabu .
View attachment 1721490
Bado haijafahamika umahiri wa hospitali za kenya kiasi cha kuwavutia raia wa nchi zingine , bali tunatoa shukrani kwa wakenya kutokana na Ukarimu wao , Tunawaombea kwa Mungu ili awazidishie palipopungua .
Mungu ibariki Jamhuri ya watu wa Kenya .
Mke wa Pierre Nkurunzinza aliletwa Kenya akatibiwa katika hospitali ya Aga Khan
Aliyelazwa ni MboweTatizo Magu naye kazidi ujuaji...
mzee mwenzangu hivi ni kwa nini kenya tuu ?ngependa sana kusikia nenolako juu ya historia ya mfululizo wa false accusations dhidi ya tanzania zinazofanywa na hawa ambao tunasemaga ni ndugu zetuMagufuli hawezi kupelekwa kutibiwa Kenya au nchi yoyote ya jirani hata siku moja! Upuuzi mtupu huu.
Majuzi tu alikuwa anzunguka Dar akimaliza ziara yake kama wiki moja tu iliyopita kwa kufanya uteuzi wa Bashiru, lakini leo hii wanasema amekuwa anaumwa kwa mwezi mzima haonekani hadharani!
... and Lissu himself, two days ago, politely requested the TZ government officials to address the nation where is their president. He has not been on media nor public appearances for nearly two weeks now!!!. Lissu ni mbeba maono!!!
kwa hospital gani zilizoko kenya?Nilitaka nianzishe thread kumbe tayari
Wale mataga wa jukwaa hili vipi bado mnawachukia Kenya?
Kulekule alikoenda Lisu
Imeisha hiyo nyani😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Hahaaa. Typical nyumbu!!! Not very smart. IQ in the single digits 🤣🤣.
Sema ‘unahisi’, ‘unadhani’, au ‘unasadiki’....
Nilitaka nianzishe thread kumbe tayari
Wale mataga wa jukwaa hili vipi bado mnawachukia Kenya?
Kulekule alikoenda Lisu
Wengine waliwekeza kwenye kununua Wana ventilators while sisi tukiwekeza kwenye kujitoa ufahamu,propoganda na nyungu,hapo bado huoni Kama Kuna tofauti mkuu?
Please my Lord serve your servant John Pombe Magufuli,we still need him.