African leader taken ill, admitted to city hospital

African leader taken ill, admitted to city hospital

"Kaskazini mwa Afrika"?

Sidhani, wapi Sudan, atakwenda Egypt. Sioni Ethiopia akienda Kenya.

Libya, Tunisia, Algeria, wote hawawezi kwenda Kenya!

Hata Somalia kwa sababu maalum, hawezi kwenda Kenya.

Djibouti? Eritrea?; au Kaskazini tuiweke Sudan ya Kusini, na hata Afrika ya Kati?

Hawa jamaa majigambo huwa ni makubwa kwao. Tusubiri kama ni kweli.
 
Then kuchagua kwenda Kenya kimatibabu wakati Kuna tension Kati ya serikali ya Magu na Kenyatta ni hatari saana. Watamtandika sumu kuvu apumzike kwa amani.

The same na Nyerere alikataa asiende kutibiwa England ila mkapa akang'ang'ania then soon akafa hopsitalini. Nyerere aliona kwamba hawa jamaa niliwanyang'anya nchi haitawezekana wanipende at least nipelekeni China, hakupelekwa China akapelekwa kwa adui yake London, wakamalizana nae mapema tu.

Kumpeleka Magu Kenya wakati aliwachomea vifaranga vyao majuzi tu Ni bad card, hawajasahu wale watampatia sumu kuvu ya mahindi yule.
 
Watanzania tunapenda sana umbea kuliko kazi...tupe picha caption tutaweka wenyewe...tupe title tu script tutaandika wenyewe...

Uwongo always hupanda lift na kuwahi kufika, bali ukweli kupanda ngazi na kuchelewa kufika coz human being prefer bad news over good news.

Tupo hapa tuna speculate na tutaendelea ku speculate mpaka pale ukweli utakapo tufikia.

Its up to the people who knows the truth to either come forward au wakae kimya wakituangalia tukihangaika na urongo.
 
Una habari unaweza kumuelewesha akaelewa (kama wewe ndio uko sahihi though) bila kumtukana?
 
Magufuli hawezi kupelekwa kutibiwa Kenya au nchi yoyote ya jirani hata siku moja! Upuuzi mtupu huu.

Majuzi tu alikuwa anzunguka Dar akimaliza ziara yake kama wiki moja tu iliyopita kwa kufanya uteuzi wa Bashiru, lakini leo hii wanasema amekuwa anaumwa kwa mwezi mzima haonekani hadharani!
 
What you need to know:
Multiple sources confirmed that the leader who has reportedly been ailing since late last month.
The country has recently softened its stance on the pandemic.

The leader of an African country who has not appeared in public for nearly two weeks is admitted to Nairobi Hospital for Covid-19 treatment, even as his government remains mum on his whereabouts.

The leader, who regularly addresses church congregants and public rallies when inspecting or launching government projects, was last seen in public on February 27.

The Nation cannot disclose his name as officials from both governments declined to officially confirm his admission to Nairobi Hospital, citing diplomatic protocol.

Multiple sources, however, confirmed that the leader who has reportedly been ailing since late last month, flew to Kenya on Monday when his health deteriorated.

Tens of senior government officials and religious leaders in the country have died from suspected Covid-19 infections in recent weeks.

Last public appearance
While addressing a gathering in one of his last public appearances, the leader advised his citizens to take precautions against the Covid-19 pandemic.

His government has, however, remained adamant against enforcing public health measures such as wearing face masks, sanitising and banning of large gatherings.

Opposition leaders who spoke to the Nation said diplomatic sources had indicated that the leader has been on a ventilator.
They chided government officials for holding onto information on the leader’s whereabouts and health.
Account of infections

There has been no official information from the government on whether the leader is unwell or merely taking a break.
His government faced a lot of criticism over the way it handled the Covid-19 pandemic in since its onset early last year.

Unlike most countries across the world including Kenya and the rest in the continent, the country did not go into lockdown to slow down transmissions.

Health officials in that country do not give a daily account of infections.
It has also refused to tap into the supply of Covid-19 vaccines, arguing that the drugs need to be verified by local scientists and health experts first.

Mass hysteria
In recent weeks, however, the country has softened its stance on the pandemic, its top officials arguing that it was managing mass hysteria, rather than denying the existence of the Covid-19 pandemic.

The change of tune came after the clergy mounted pressure for more disclosures about Covid-19 and measures to be put in place to stop its spread.

The Catholic Church in the Africa country recently said its top clerics had died from ailments with symptoms similar to those of Covid-19.

It then distributed guidelines to bishops of various dioceses on measures to protect themselves against Covid-19 while conducting mass, weddings, prayers and other services.

The World Health Organization has also repeatedly pressed the country to disclose its Covid-19 infection numbers and issue public warnings against the deadly virus.
 
1615338074115.jpeg
 
Una ni quote na kiingereza kiingi cha ku copy na kupaste...post nzima imejaa speculations.
Can you and your source provide a proof beyond a reasonable doubt about your claims au tuendelee kuskiliza hizi porojo?
 
Back
Top Bottom