Tim Choice
JF-Expert Member
- Sep 28, 2013
- 2,088
- 1,261
The act of managing the pain is called TREATMENT weye mswahili na propaganda za kijamaa.Basi inaonekana na wewe pia hujui maana ya neno treatment ni nini. If you have a disease that has no cure, then there is no treatment for that disease!. Treatment and pain management are two different games in health science.
Nimeona screenshot huko mitandaoni ya hio highlight news kutoka kituo cha TV cha Sabc nikashtuka aisee.Mkuu iwe ukweli au tetesi, kwani nchi hii ya kipuzi aje? Hamna Govt Spokesperson to come clean? Madai kama haya sio upinge tu apa na mafeeling! There's a problem, where's is Tzs Presidential Press Unit to shed light? Ata kama yuko China watangaze??
Ulitaka atibiwe wapi?I just don get it... Yaan JPM aende kutibiwa Kenya pamoja na mdololo wa kidiplomasia uliopo!!! If it's true then TISS hawako sawa. Something is very wrong with our country's intelligence. Haiwezekani eti.
Watu wengine wanadhani kile kidudu kinaogopa walinzi wenye mitutu ya bunduki...
Kiongozi wa CCM ... ungekuwa specific kabisa ili upunguze wigo wa maswali.
Maana Tanzania ina viongozi wengi... wa vyama vya siasa, michezo, dini nk ..
Inamana kumbe kenya wako vizuri zaidi kuliko . ishu ya huduma za hospiatal
Utawasikia wakikuambia Tanzania Ina hospitali Bora Kuliko Kenya.
Wakenya wenyewe wanavuka boda Tz kupata matibabu Kcmc na Selian..
Halafu wanajiona wana best services! Yaani JPM aumwe aache kwenda China as i know hawezi kwenda Western nations halafu aende Kibera!
CCM ndio Tz, Tz ndio ccm.Kiongozi wa CCM ... ungekuwa specific kabisa ili upunguze wigo wa maswali.
Maana Tanzania ina viongozi wengi... wa vyama vya siasa, michezo, dini nk ..
Saa Za AfrikaUlitaka atibiwe wapi?
Facts zipi hizo, mbona wakenya wengi wanatibiwa kcmc na hospitals around moshi. Which facts you talking aboutPropaganda zao zinaumbuliwa na facts kila uchao.
Sio kwamba anashida zingine za moyo? Sio mara moja naisikia hiyo
Muda utasema [emoji1787]Sidhani kama Kenya wana hospital yoyote yenye expertise ya magonjwa ya moyo bora kuliko Jakaya Kikwete Cardiac Institute yetu!
Anabishana hata na watu wa dini, walio karibu zaidi na Mungu.Tatizo Magu naye kazidi ujuaji...
Yaani tiuache vitu vya maana tuanze kujibu KOT!? Seriously?Mkuu iwe ukweli au tetesi, kwani nchi hii ya kipuzi aje? Hamna Govt Spokesperson to come clean? Madai kama haya sio upinge tu apa na mafeeling! There's a problem, where's is Tzs Presidential Press Unit to shed light? Ata kama yuko China watangaze??