Jua hilo nijambo nyeti hamna dakitari au kiongozi wa nchi ambae anaweza kujitokeza kuliongelea ila lingekua sio kweli serikali ya Tz au ya Ky zingetoka nakukana hiyo habari hadharani lakini paka sasa hivi zote kimya kwanini?..naomba usome habari nzima utaona kwanini I have my reservations.
..pia BBC wameandika, " Nairobi Hospital also said it could not comment. "
..hiyo response toka kwa Nairobi Hospital ndio inayonipa wasiwasi.
..sasa hivi nasubiri kama Jumapili ataonekana Kanisani.
Hawa jamaa walioandika haya Mungu awarehemu! Hivi kweli ktk choice ya hospital Nairobi hospital ni mojawapo? Hiki ndicho naamini ni uvumi tu! Mungu tunaomba uturehemu sisi watanzania wote kwa ujumla! Mungu tunaomba uiponye nchi yetu Tanzania! Mungu tunaomba umrehemu, umponye na kumtunza rais wetu mpendwa Mh Dr JPM na serikali zetu zote! Mungu azidi kuirehemu, kuiponya nchi yetu Tanzania, amen!
Jua hilo nijambo nyeti hamna dakitari au kiongozi wa nchi ambae anaweza kujitokeza kuliongelea ila lingekua sio kweli serikali ya Tz au ya Ky zingetoka nakukana hiyo habari hadharani lakini paka sasa hivi zote kimya kwanini?
..hii habari imetoka mpaka BBC.
..msemaji wa serikali ya Tz anapaswa kuikanusha au kuithibitisha.
John Magufuli: Questions raised over missing Tanzania leader
John Magufuli has not been seen in public for 11 days amid claims he is ill with coronavirus.www.bbc.com
You know this would be long gone if your govt spokesperson would come out, deny or verify these claims?According to tired BBC, Lisu is a reliable source of their news.
According to tired BBC, Lisu is a reliable source of their news.
mgonjwa mahututi hachagui hospitali
Haaaaa mfungwa hachagui gereza
..that could be problematic.
..but Nairobi Hospital when contacted did not want to confirm or deny that they have admitted President Magufuli, and that is a little worrisome to me.
The only thing the wise man can do is to let time be judge.
Source ni tundu loh!..hii habari imetoka mpaka BBC.
..msemaji wa serikali ya Tz anapaswa kuikanusha au kuithibitisha.
John Magufuli: Questions raised over missing Tanzania leader
John Magufuli has not been seen in public for 11 days amid claims he is ill with coronavirus.www.bbc.com
Mkuu,, Rais yuko India now.According to tired BBC, Lisu is a reliable source of their news.
Sour
Source ni tundu loh!
Whatever it is the case, Mungu ataendelea kujitukuza, amsamehe na Amponye rais wetu mpendwa Mh Dr JPM! Mapenzi yake Mungu yatimizwe!
No, the only thing the wise can do in situations like this is to intervene with prayers so that that it may be well with him, amen!The only thing the wise man can do is to let time be judge.
Kama zingekuwa za Uzushi msemaji wa serikali angekuwa asha toa taarifa .Si dhani kama huu uzi ungekuwa Mods wangekuwa tayari wame ufuta...unampeleka Magu hospitali alikolazwa Lissu baada ya kushindiliwa marisasi?!
..I hope habari hizi ni za uzushi, kwani kama ni kweli itakuwa ni AIBU kubwa sana.
Kama zingekuwa za Uzushi msemaji wa serikali angekuwa asha toa taarifa .Si dhani kama huu uzi ungekuwa Mods wangekuwa tayari wame ufuta.
Mzee Baba kaonekana hadharani?
Amen.No, the only thing the wise can do in situations like this is to intervene with prayers so that that it may be well with him, amen!
No, the only thing the wise can do in situations like this is to intervene with prayers so that that it may be well with him, amen!