Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Malengo yetu ni hospitali ya Bugiri Chato iwe na hadhi hii.
Hukuwa umezaliwa mwaka jana,mpaka tukaambiwa bendera hazina siku mbili zitashuka nusu mlingoti!Kwa wingi wa tetes hiz huyu jamaa lzm atakuw ana chngamoto fulan na hiv anavyopenda sifa za kijnga km ingekua uongo lzm angejitokeza
Unaamini?Hivi huwajiu hao mabwana kwa kutengeneza kiki? Naamini Mr President yupo ikulu katulia anatuchora tunavyolumbana
Kama uwongo then ww unasemaje? Unadhani hata kama mwongo, ww unasources gani za maana 'upate info kama izo kama sio umbea wa kitaa na vijiweni. Kama ungekuwa na source za maana then ww ungekuwa wa kwanza kuuliza huko Twitter na platform zingine ila kwakuwa ni cowardice character you had no balls so shut the f up n***a.
Clutching at straws much?
You blaming a guy who is in Belgium??
You're the same people who told us that lissu lost the elections because nobody believed whatever he said? Now you want to tell us that the same guy is responsible for the for this story because out of nowhere now people believe whatever he says?
Which one is it? Jeezus Christ y'all cant figure out which lie to stick with.
People daily page 2Hivi huwajiu hao mabwana kwa kutengeneza kiki? Naamini Mr President yupo ikulu katulia anatuchora tunavyolumbana
Duuh!People daily page 2
View attachment 1722518
Huyo ni mbwa tuWe mjaluo stay away from us.
We don't like your attitude since forever why butt in for something which is non of your business.
Nyie wakenya ni watu nuksi tu.
Sasa akiugua au asiugue we kinakuwasha nini! Au sharwala inakupa tabu.
Kaa mbali na taifa letu.
Majungu peleka kwenu mnakochinjana kwa ukabila.
Rais wetu augue au asiugue inawahusu nini nyie banyamulenge? Yaani kuona flyovers kidogo tu mmeanza kumeza mate.
Bloody biscut!
siasa mbaya, maisha mabaya..I hope hizi habari ni za UONGO.
..lakini kama ni kweli, Magu akipona atastahili ajiuzulu.
..msimamo wake kuhusu covid-19 umetuletea Watz maafa makubwa.
Kweli inaweza kuwa ni uvumi, nini jukumu la idara ya habari ikulu, au ofisi ya Msemaji Mkuu wa Serikali? kama wanaweza kulikalia kimya suala ili kubwa linalohusu afya ya Rais na kuleta taaruki kwa jamii, vipi kwa mambo mengine madogo?(Sikusakami ila najua vyema uvumi huu umekukuna roho ) Tupo kwenye mahusiano mabovu ya kidiplomasia na Kenya.Usishangae wao ni ndo kinara wakuzusha haya wakisaidiwa na fugitives Ngurumo na kundi lake, Mr Nyani we are at war japo selection ya weapon ya Kenya ni weak..Subversive is no longer paramount On the highly globalised gen.
Nchi nyingine as government itatoaje taarifa za rais wa nchi nyingine pasi nchi husika kuishirikisha?Hili ni jambo la kushangaza au kuhuzunisha.
Kama kweli Magufuli kalazwa kenya na media zote za kenya zinashindwa kuripoti hadi media za ulaya ziseme kuna tatizo kubwa.
Au kenya inaiogopa Tanzania au media za kenya zimefeli.
Ni mtazamo wangu tu
Duu noma sanaDaily Nation imekuwa KOT? Tena umesahau Tundu Lissu katibiwa hii Nairobi Hospital? I'm sure he made friends here. Na hizi habari zimevuja toka kwake! Time will tell!Yetu macho.
Wabishieni na BBC na Aljazeera ,,mda utaamua
Huyu Ticha wangu wa uchumi mlimani namuonea huruma sana..Na Dr.Mpango naye amepelekwa hukohuko!! Ni kweli?
Because there are protocals between governments,if a diplomatic top secret classified directive was issued between both governments for this to be kept under wraps, haitotokea mkahabarishwa abadan ,until this info/intel iwe declassified many years later...that could be problematic.
..but Nairobi Hospital when contacted did not want to confirm or deny that they have admitted President Magufuli, and that is a little worrisome to me.
People daily page 2Bado nawaza aibu itakayo wakuta watu pale Dr Magufuli atakapo toka mapumzikoni huku akicheka kile kicheko chake.
Lissu.
BBC
Nyumbu
Sijuii mtaziweka wapi nyuso zenu.
Wakati nyie mnamuombea Rais kifo wapo wanao muombea uzima kwa jina la Yesu na Damu ya Yesu iendelee kumfunika. Tuna kaataa na kufuta maneno ya mabaya yanayotamkwa juu yake kwa Damu ya Yesu.