African leader taken ill, admitted to city hospital

Kwa wingi wa tetes hiz huyu jamaa lzm atakuw ana chngamoto fulan na hiv anavyopenda sifa za kijnga km ingekua uongo lzm angejitokeza
 
Kwa wingi wa tetes hiz huyu jamaa lzm atakuw ana chngamoto fulan na hiv anavyopenda sifa za kijnga km ingekua uongo lzm angejitokeza
Hukuwa umezaliwa mwaka jana,mpaka tukaambiwa bendera hazina siku mbili zitashuka nusu mlingoti!

Tulibishia hivi hivi tukaonekana ni mataga tu wasaka tonge. Mwisho wa siku kila mtu alijua nani ni mpuuzi.
 

Taarifa za serikali, ni nani anawajibika kuzitoa!!?
Lisu, BBC, other rumour mongers. Kwa ushauri tu, ukiamini kila jambo unalolisikia utakuwa kama wimbi la bahari ambalo husukwa huku na huku. Kitu ambacho siyo kizuri.
 

No one is blaming this useless person.
Only the blind people can trust the guy.
 
Huyo ni mbwa tu
 
Kweli inaweza kuwa ni uvumi, nini jukumu la idara ya habari ikulu, au ofisi ya Msemaji Mkuu wa Serikali? kama wanaweza kulikalia kimya suala ili kubwa linalohusu afya ya Rais na kuleta taaruki kwa jamii, vipi kwa mambo mengine madogo?
 
Hili ni jambo la kushangaza au kuhuzunisha.
Kama kweli Magufuli kalazwa kenya na media zote za kenya zinashindwa kuripoti hadi media za ulaya ziseme kuna tatizo kubwa.
Au kenya inaiogopa Tanzania au media za kenya zimefeli.
Ni mtazamo wangu tu
Nchi nyingine as government itatoaje taarifa za rais wa nchi nyingine pasi nchi husika kuishirikisha?

Although media house iliyoiva haiwezi kutoa taarifa ya upande mmoja unbalanced story.
 
..that could be problematic.

..but Nairobi Hospital when contacted did not want to confirm or deny that they have admitted President Magufuli, and that is a little worrisome to me.
Because there are protocals between governments,if a diplomatic top secret classified directive was issued between both governments for this to be kept under wraps, haitotokea mkahabarishwa abadan ,until this info/intel iwe declassified many years later.

Serikali zetu mbili zina ukaribu mno,nyie makajamba wa chini ndio mnaamini eti kuna uhasama, mivutano yote mliyoyashuhudia ilikua ni kuwapumbaza kipindi cha kampeni ya uchaguzi ili kupata kiki.
 
Bado nawaza aibu itakayo wakuta watu pale Dr Magufuli atakapo toka mapumzikoni huku akicheka kile kicheko chake.

Lissu.
BBC
Nyumbu
Sijuii mtaziweka wapi nyuso zenu.

Wakati nyie mnamuombea Rais kifo wapo wanao muombea uzima kwa jina la Yesu na Damu ya Yesu iendelee kumfunika. Tuna kaataa na kufuta maneno ya mabaya yanayotamkwa juu yake kwa Damu ya Yesu.
 
UNAFIKI HUU, MNAPASWA KUISHUKURU KENYA,BAADA YA LISSU KUTIBIWA SASA RAISI WENYU NA VIONGOZI WENGI WA TANZANIA TU,KIMYA KIMYA.
NDUMALAKUWILI NYIE.
 
People daily page 2
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…