bioto
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 1,261
- 2,097
yetu machoView attachment 1727070
Hii inabeba Nini mkuu? Kuna sehemu pia nimeiona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yetu machoView attachment 1727070
😎😎Jamani si tulikubaliana kuwa CORONA haipo?
This is an old photo.yetu machoView attachment 1727070
By posting an old photo of Bagamoyo road, you are a big fool.We will not speculate since there is a shroud of secrecy surrounding the issue but we are not foolish either
Alafu wewe unaendaHuyu ashaenda
Lisu ni mpumbavu sana
Lakini Ile machungu huyu jamaa ako nayo.......noma sana!!! The Tanzanian Miguna Miguna
yetu machoView attachment 1727070
Mnadhimu Mkuu mstaafu wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), Luteni Jenerali Samuel Ndomba (kwenye gari kushoto) na Mkuu wa Vikosi vya Kulinda Amani Umoja wa Mataifa, Luteni Jenerali mstaafu, Paul Ignas Meela wakitoa heshima katika hafla ya kuagwa iliyofanyika Viwanja vya Twalipo Mgulani Dar es Salaam source : Jeshi la Wananchi wa TANZANIA ( JWTZ ) limewaaga Maofisa wake 16 Baada ya Kustaafu Kazi
Lakini Ile machungu huyu jamaa ako nayo.......noma sana!!! The Tanzanian Miguna Miguna
It has been confirmed. Don't take us for foolsBy posting an old photo of Bagamoyo road, you are a big fool.
It shows who now the fools are really, he passed on, on friday at the Nairobi hospital, then was sneaked back to Tz on Saturday, sadly it was Covid-19It has been confirmed. Don't take us for fools
Okay!!Wanaoonyesha furaha zao endapo atapoteza maisha!! Hiki ni kilele cha ujuha aisee. Hivi mtu utafurahiaje jambo limpatalo mwenzio wakati na wewe litakupata? Sijui ni akili za wapi tu hizi. Kifo hakina mwenyewe. Ni chetu sote. But oh well....
Huyu hawezi kuwa Rais wa Tanzania hata iwejeWalichomfanya huyu jamaa yaani hayo machungu hata sio kitu, wewe upigwe risasi 38 na uachwe uteseke kwa kipindi chote hicho, bora hakuukwa urais maana nahisi angelipiza kisasi.