Vp huko njaa Imeisha tuwaletee mahindi?maana ni juzi tu mmeibuka kwa kusema mahindi yana sumu, leo mmekujw kwa kusema kiongozi mgonjwa kaletwa kwenu, nyie mnashida gani nyie??Kama umeacha kushangaa ni vizuri..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vp huko njaa Imeisha tuwaletee mahindi?maana ni juzi tu mmeibuka kwa kusema mahindi yana sumu, leo mmekujw kwa kusema kiongozi mgonjwa kaletwa kwenu, nyie mnashida gani nyie??Kama umeacha kushangaa ni vizuri..
mkuu unatumia nguvu sana,unawapa airtime na kujihisi wanajadili jambo nyeti sana kumbe uzushi tu.
DuhVp huko njaa Imeisha tuwaletee mahindi?maana ni juzi tu mmeibuka kwa kusema mahindi yana sumu, leo mmekujw kwa kusema kiongozi mgonjwa kaletwa kwenu, nyie mnashida gani nyie??
Hivi majority ya journalists huwa wanakuwa trained wapi? Nawaona kuwa kuwa wanna freedom kubwa kwenye operations na uandishi wao...wanaweza wakaanzisha rumours zozote zile kwa kile kinachoitwa freedom of expression...Nimeacha kushangaa baada ya kukumbuka kile huwatendekea albino huko, kwamba nyie ni wale wale...
Watukie dawa iwaingie mkuu
Huko india unakotaja ni safari ya saa moja?Na wote waliyopo Ikulu wanaakili timamu ya kuamua nn wafanye kwa wakati husika, nadhani wao wangeweza kuamua hata apelekwe mbali zaidi ya India kuliko ambavyo yeye angeamua,pia suala la matibabu Ya Rais wa nchi hakihitaji mjadala mrefu nn kifanyike n maamuzi ya madaktari wake kuona wapi anastahili apelekwe
Boss not only mentioning, they even put up his picLet's conclude like this, you go on believing on newspaper which was even not able to mention the name of that so "called the Afrikan leader taken ill". Me; I'll keep on believing the official statement from the govt, until it's again announced otherwise. Maisha ni kupanga na kupanga ni kuchagua.
Hata ingekuwa masaa kumi, unadhani kiongozi anasafiri bila doctors, haya na mbona Kama mnavyo sema baada ya hapo alipelekwa India?? Kwahiyo kutoka Nairobi mpaka India n lisaa limoja? Na nilicho ongea mm ni kwamba kwa mamlaka aliyo nayo hawezi letwa Nairobi angepelekwa moja kwa moja IndiaHuko india unakotaja ni safari ya saa moja?
Wewe huna facilitues za kumtoa mgonjwa hapa ukamfikishe india. Ndio maana walianzia karibu.Hata ingekuwa masaa kumi, unadhani kiongozi anasafiri bila doctors, haya na mbona Kama mnavyo sema baada ya hapo alipelekwa India?? Kwahiyo kutoka Nairobi mpaka India n lisaa limoja? Na nilicho ongea mm ni kwamba kwa mamlaka aliyo nayo hawezi letwa Nairobi angepelekwa moja kwa moja India
Boss not only mentioning, they even put up his picView attachment 1724461
The other day you conceded that Kenya has better private hospitals than Tz. Leo unapingana. Hauna msimamo, you only argue to win.Nchi imejaa mapunguani, yaani yanaamini JPM anaweza enda kutibiwa Kenya, katika nchi zote njema za Ulimwengu huu ndio aende Kenya??
Leave alone JPM anaamini madaktari wake wazawa always na hata ingekuwa Kenya wana hiyo capacity ya kumtibu Rais (ambayo hawana) angeenda hata South Africa, China au India,
Yaani hata kwa akili ndogo tu useme Joe Biden akatibiwe Russia,
Mikenya ni Mijinga na haibadiliki miaka nenda rudi yaani. Inazeeka na ujinga wao.
Shida unahukumu athari ila huangalii chanzo cha tatizo kiko wapi. Kwa kawaida mtu hawezi kufurahia mwenzake kukumbwa na tatizo /shida ambayo na yeye itampata. Ila pale mtu anaishi na kutenda kama yuko juu ya hizo shida, kwa hakika siku akikutana nazo watu hufurahia, kwa sababu shida hizo zisipomwondoa basi humrejeshea kwa kiasi kikubwa, ule ubinadamu uliokuwa ameuacha iwe kwa makusudi au bahati mbaya.Mimi nazishangaa pande zote.
1. Hao waliomzunguka, nakubaliana nawe kuwa kuna wanafiki. Mbele yake wanamchekea na kumnyenyekea lakini nyuma yake wanamteta vibaya mno.
2. Wanaoonyesha furaha zao endapo atapoteza maisha!! Hiki ni kilele cha ujuha aisee. Hivi mtu utafurahiaje jambo limpatalo mwenzio wakati na wewe litakupata? Sijui ni akili za wapi tu hizi. Kifo hakina mwenyewe. Ni chetu sote. But oh well....
Utatangulia wewe pengine
Hiyo ni tafsiri yako kulingana na mtazamo wako.Shida unahukumu athari ila huangalii chanzo cha tatizo kiko wapi. Kwa kawaida mtu hawezi kufurahia mwenzake kukumbwa na tatizo /shida ambayo na yeye itampata. Ila pale mtu anaishi na kutenda kama yuko juu ya hizo shida, kwa hakika siku akikutana nazo watu hufurahia, kwa sababu shida hizo zisipomwondoa basi humrejeshea kwa kiasi kikubwa, ule ubinadamu uliokuwa ameuacha iwe kwa makusudi au bahati mbaya.
Ni Safari ndefu ila mtafikia hapo tu...tunaposema kwamba kenya ni super power east and central Africa..mambo kama haya ndio huwa Yana changiaMalengo yetu ni hospitali ya Bugiri Chato iwe na hadhi hii.
Mambo yapi?Ni Safari ndefu ila mtafikia hapo tu...tunaposema kwamba kenya ni super power east and central Africa..mambo kama haya ndio huwa Yana changia
Ukubwa na uwezo wa hospitali za Kenya..Na heshima zinazo pewa katika Africa mashariki na ya katiMambo yapi?
umeamu kujifunika huu uzushi.Ukubwa na uwezo wa hospitali za Kenya..Na heshima zinazo pewa katika Africa mashariki na ya kati
Najua ukweli unauma lakini itabidi mzoeee.umeamu kujifunika huu uzushi.
eti super power wa hospital[emoji23][emoji23]