Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ona mwingine ni wapo hapo ambapo umeona 'nikishangilia' kifo cha mtu yeyote yule? Mimi ningependa apone ili atoe ushuhuda kwamba masuala ya kisayansi yanafaa 'approach' ya utalaamu wa kisayansi. Sio ubabe wa peni mbili, imani za ajabu ajabu na vitu ambavyo vinaendana sana na ushirikina.Bro, you don't need to bother kushangilia kifo cha mwingine in such a way you make others think that you are a witch. Give time to your feelings, then everything will be unveiled.
Why on earth and how long would he be willing to waste his time responding to claims engineered by a bunch of jobless folks such as Lissu, Zitto, Lema, Msigwa, etc?
Mama wa rais magufuili alipona maradhi yake?
Tumia tu kiswahili jombaa. Sijui kwanini unajiumiza sana na kiingereza. Wakati ni wazi kwamba huelewi ninamaanisha nini nikikueleza kwamba official social media accounts za marais wengi huwa zipo mikononi mwa handlers wao.So we are talking about Englisha Language now, You've been trapped in your own stupidity old man, as fool as typical Kenyans.
Ona mwingine ni wapo hapo ambapo umeona 'nikishangilia' kifo cha mtu yeyote yule? Mimi ningependa apone ili atoe ushuhuda kwamba masuala ya kisayansi yanafaa 'approach' ya utalaamu wa kisayansi. Sio ubabe wa penu mbili, imani za ajabu ajabu na vitu ambavyo vinaendana sana na ushirikina.
Unaumwa wewe, nioneshe kauli zangu hizo ambazo zinaonesha niking'ang'ania kwamba amekufa.Kauli zako zinaonekana waazi kabisa. Kwa nini ung'ang'anie kwamba amekufa, wakati mmoja kati ya viongozi wakubwa kabisa ametangaza kuwa yuko salama na anaendelea na majukumu yake!!?
Wewe na waziri mkuu nani wa kuaminiwa?
Mzee una hati-miliki ya Lugha ya Uingereza? In Kenya wapumbavu wengi sana mmezeeka.Tumia tu kiswahili jombaa. Sijui kwanini unajiumiza sana na kiingereza. Wakati ni wazi kwamba huelewi ninamaanisha nini nikikueleza kwamba official social media accounts za marais wengi huwa zipo mikononi mwa handlers wao.
Unaumwa wewe, nioneshe kauli zangu hizo ambazo zinaonesha kwamba nang'ang'ania kwamba amekufa.
Eti hizo sasa ndio sampuli ya akili za mataga ambao ndio ma'genious'. [emoji1]Wewe ndiye unaonyesha ulivyo pimbi kwa kukaa ukitegemea "like" ya kwenye tweeter kuwa ndio chanzo chako cha habari....hehehe
Haya basi jombaa haina presha. Sitakukwaza, endelea kwa raha zako kutumia like za twitter kama ushahidi kwamba rais wenu anaendelea kuchapa kazi kwa nguvu. [emoji41]Mzee una hati-miliki ya Lugha ya Uingereza? In Kenya wapumbavu wengi sana mmezeeka.
Kwahiyo yupo anachapa kazi sio ? wapi huko alipo ? daaah wakuu magufuli ni binadamu tu na yeye na anaweza kuumwa na anaweza kudondoka anytime, anyday sasa ninyi mnaficha anavyoumwa mnakosea
Mimi naona ungekua busy twitter ukipigana na watanzania wenzako wenye wana spread rumours that he is dead, uwache kuwekelea wakenya, your brothers are busy planning celebrationsKauli zako zinaonekana waazi kabisa. Kwa nini ung'ang'anie kwamba amekufa, wakati mmoja kati ya viongozi wakubwa kabisa ametangaza kuwa yuko salama na anaendelea na majukumu yake!!?
Wewe na waziri mkuu nani wa kuaminiwa?
Naamini kwamba Mungu mtu wenu hawezi akaugua na yupo busy kazini kwa zaidi ya wiki sasa akikimbizana na deadlines. Ndio maana hana muda hata wa kuota jua, achia mbali kuonekana hadharani. Tupo pamoja kufikia hapo?Punguza jazba bwana mdogo.
Hili swali ninalokuuliza ndilo litathibitisha madai yangu.
Kati ya hizo tetesi na kauli ya waziri mkuu, wewe unaamini kipi???
Mimi naona ungekua busy twitter ukipigana na watanzania wenzako wenye wana spread rumours that he is dead, uwache kuwekelea wakenya, your brothers are busy planning celebrations
Sasa wewe nyang"au unashangaa Nini?Ama kwa kweli sijui kawafikisha wapi hao Watanzania, nimeshangaa kuona watu wanapost kabisa tena bila aibu kwamba wanasubiri kwa hamu kuskia rais wao ameaga dunia. Siamini macho yangu kabisa.
Utatangulia wewe pengineKwahiyo yupo anachapa kazi sio ? wapi huko alipo ? daaah wakuu magufuli ni binadamu tu na yeye na anaweza kuumwa na anaweza kudondoka anytime, anyday sasa ninyi mnaficha anavyoumwa mnakosea