African leader taken ill, admitted to city hospital

yani mtu aruke mkojo akanyage mavi?
ngumu kumeza hii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]enhee kwa hospital gani apo kwa manyan'gau ?
Wacha mavi alikanyanga shetani mwenyewe [emoji23][emoji23]
Sa hizi jamaa yuko kwa shetani anachomeka milele na milele na upumbavu wake [emoji88]
 
Kama ni kweli yuko hospitalized Nairobi! Hii aibu sijui Magu ataruka vipi hapa East Africa?

It will shows hospital facilities za Tanzania ni mediocre and local Kama nyimbo za Ken Wa Maria. [emoji16]
Anaruka kwa shetani ju ya kuchomeka na moto.
Ignorance is a death sentence.
 
You were right. Jamaa alipigwa sindano ya sumu [emoji382][emoji382] Nairobi hospital na kutumwa Mzena akakufie huko.

Don't joke with investors. Now Kenyans wako huko kwa mpigo now that we have Mama kwa usukani
 
Mjiongeze kama mama alivyofanya kwenye mkutano wake na wazee wa Dar jana............. Hadi hapo ilipaswa muwe mumejifunza kitu kwamba ujuha na ukaidi hausaidii kitu hata uwe rais.

Kama ye mama kaamua kuufuata ujinga,unadhani kila mtanzania atafuata ujinga wake....!!!nenda kaangalie ule umati uwanja wa taifa Siku ya mechi ya simba na yanga juzi jumamosi kama kuna mtu kavaa barakoa?!!!..halafu tunam-mind kichizi yaani katuharibia mechi yetu kijingajinga tu simba alikuwa anakufa 3-0 kama game ingechezwa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…