passioner255
JF-Expert Member
- Apr 22, 2019
- 6,192
- 11,897
Na wewe pia ufe Tu sio vizuri kumtakia mwenzako kifo.Bora na yeye afe tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wewe pia ufe Tu sio vizuri kumtakia mwenzako kifo.Bora na yeye afe tu
Hujielewi..I hope hizi habari ni za UONGO.
..lakini kama ni kweli, Magu akipona atastahili ajiuzulu.
..msimamo wake kuhusu covid-19 umetuletea Watz maafa makubwa.
Kuna watu ni wachawi wasiojielewa!Duh mbona mnamfuatilia hivyo !.
What a clue!!The Catholic Church in the Africa country recently said its top clerics had died from ailments with symptoms similar to those of Covid-19.
two wrongs don't make a rightNa wewe pia ufe Tu sio vizuri kumtakia mwenzako kifo.
Hakuna cha kujihudhuru wala nini! Kama Mungu mwenyewe anaendelea kumtunuku uhai na afya njema sisi ni akina nani hata tuanze kumtaka ajiuzuru! Bado kuna mambo mengi anatakiwa kuyakamirisha Tz! Eh Mwenyezi Mungu, tunaomba umrehemu na umponye mja wako John Pombe J Magufuli! Amen!..I hope hizi habari ni za UONGO.
..lakini kama ni kweli, Magu akipona atastahili ajiuzulu.
..msimamo wake kuhusu covid-19 umetuletea Watz maafa makubwa.
Jiwe hawezi jiuzulu...I hope hizi habari ni za UONGO.
..lakini kama ni kweli, Magu akipona atastahili ajiuzulu.
..msimamo wake kuhusu covid-19 umetuletea Watz maafa makubwa.
Utaanza wewe kwanzaJiwe hawezi jiuzulu.
Natural causes ichukue hatua.
already confirmedMmh bado mna mashaka na hiloView attachment 1722249
Sijasikia kiongozi yeyote hapa aliyekufa kwa COVID-19, wewe umesikia?Waliokufa kwa COVID-19 wamefia wapi?
You know this would be long gone if your govt spokesperson would come out, deny or verify these claims?
Mkuu,, Rais yuko India now.
anaendelea kupata matibabu. tuzidi kumuombea afya yake irudi salama.
Bora na yeye afe tu
..I agree with you.
..Ningeamini source tofauti na Tundu Lissu.
..Lakini pia Nairobi Hospital wameshindwa kuthibitisha au kukanusha habari hizi.
..Sasa kwanini BBC wakaziandika?
Ndiyo nife tu sio vizuri kunipangia cha kuandika Kwani mume wako huyo??Na wewe pia ufe Tu sio vizuri kumtakia mwenzako kifo.
Kawe alumni una Hofu sana kufiwa na mumeo!?Mungu angekuwa anafanyia kazi maombi ya kizembe kama haya, hata wewe leo usingekuwa nyuma ya hiyo keyboard, kwa sababu wapo waliotamani usiione kesho yako!