African Super League inakuja kuua soka la Afrika

African Super League inakuja kuua soka la Afrika

Mbongo4life

Senior Member
Joined
Nov 1, 2021
Posts
132
Reaction score
270
Mwezi wa nane mwakani mgeni anakuja mgeni ambaye wenzetu Ulaya wamemkataa lakini kama kawaida ya wazungu wakaamua kumleta Afrika na kama kawaida yetu tunamkumbatia bila kujali madhara yake kwa soka letu.

Kwa kiwango cha pesa kwenye super league na guarantee ya kutoshuka daraja Simba haitojali kuhusu ligi ya ndani plus haitokuwa na muda wa kucheza ligi ya ndani maana Super league ina timu 24 so ni league ya mwaka mzima.

Simba haiwezi kuhatarisha wachezaji wake kuumia dhidi ya mtibwa wakati wana mechi za Super league . We will the end of league yetu na utani wa jadi sababu simba hawatakuwa na huo muda.

Na hilo ndio lengo la banks na makampuni ya ulaya na marekani kuanzisha ligi moja tu kila bara duniani and use them for commercial purposes.
 
Mwezi wa nane mwakani mgeni anakuja , mgeni ambaye wenzetu ulaya wamemkataa lakini kama kawaida ya wazungu wakaamua kumleta Africa na kama kawaida yetu tunamkumbatia bila kujali madhara yake kwa soka letu...
MAKOLO mmeanza visingizio mapema.......tuliwaambia sajilii proffesinal players......nyie mnatuletea kina kiyombo
 
Kama kuna hela za maana huko acha iwe hivyo, kwanza inaleta radha fulani hivi kuona team kutoka mataifa tofauti zana interact kwa muda mrefu kwasababu ligi yetu ya ndani bado haijawa na huo mvuto (hadhi mnayojaribu kuipa).

Ushindani utaendelea kuwepo kwasababu ni lazima team zi-mantain nafasi zao kwenye ranks za CAF ili kujihakikishia kuwepo kwenye hizo team 24 zilizowekwa.

Kuhusu swala la hela kumwagwa huko mimi sioni tatizo kabisa maana kila team inahitaji pesa, huwezi kusajili kwa 2B (mfano) plus budget ya kuendesha team msimu mzima, kisha uridhike na bonus ya 600M.

Nimeona mshindi atakula $10M, na kila atakeingia kushiriki anakula $1M kabla ya mambo yote.
 
Kama kuna hela za maana huko acha iwe hivyo, kwanza inaleta radha fulani hivi kuona team kutoka mataifa tofauti zana interact kwa muda mrefu kwasababu ligi yetu ya ndani bado haijawa na huo mvuto (hadhi mnayojaribu kuipa)...
Tatizo hiyo ligi itauwa ligi yetu ya home plus kwa kiwango hicho cha pesa wachezaji wetu ambao wataweza kuicheza ni wachache sana maana tunaweza hona ujio wa wachezaji toka pande zote za dunia
 
Simba anakwenda kushiriki kama klabu inayo ongoza Kwa uchawi barani Afrika Sasa Kila Bara linakwenda kutoa mwakilishi wake ambaye alikua tishio Kwa uchawi.
Tunatumai Simba haitatuangusha kwenye eneo Ilo.
Simba guvu moja.
 
Simba anakwenda kushiriki kama klabu inayo ongoza Kwa uchawi barani Afrika Sasa Kila Bara linakwenda kutoa mwakilishi wake ambaye alikua tishio Kwa uchawi.
Tunatumai Simba haitatuangusha kwenye eneo Ilo.
Simba guvu moja.
"Kila bara" 😂
 
Simba anakwenda kushiriki kama klabu inayo ongoza Kwa uchawi barani Afrika Sasa Kila Bara linakwenda kutoa mwakilishi wake ambaye alikua tishio Kwa uchawi.
Tunatumai Simba haitatuangusha kwenye eneo Ilo.
Simba guvu moja.
Africa Kuna mabara mangapi?
 
Africa kuna mambo ya ajabu sana, Kitendo cha Bara a Ulaya kuipiga Knoout hii ligi ni uthibitisho tosha kuwa hii Ligi inakuja kubomoa na sio kujenga.

CAF na Vyama vya ndani vilitakiwa viungane juu ya hili. Ila CAF ndio chama kibovu zaidi katika mabara yote Duniani.

Kwa kifupi TFF ilitakiwa izifungie kucheza ligi timu zitakazo shiriki hii liki hio ndio njia sahihi ya kulinusuru Soka la Taifa.
 
Africa kuna mambo ya ajabu sana, Kitendo cha Bara a Ulaya kuipiga Knoout hii ligi ni uthibitisho tosha kuwa hii Ligi inakuja kubomoa na sio kujenga.

CAF na Vyama vya ndani vilitakiwa viungane juu ya hili. Ila CAF ndio chama kibovu zaidi katika mabara yote Duniani.

Kwa kifupi TFF ilitakiwa izifungie kucheza ligi timu zitakazo shiriki hii liki hio ndio njia sahihi ya kulinusuru Soka la Taifa.
Tatizo njaa zinatuponza sana.
 
Simba anakwenda kushiriki kama klabu inayo ongoza Kwa uchawi barani Afrika Sasa Kila Bara linakwenda kutoa mwakilishi wake ambaye alikua tishio Kwa uchawi.
Tunatumai Simba haitatuangusha kwenye eneo Ilo.
Simba guvu moja.
"Kila bara"? Una akili timamu kweli wewe, au ndo ukishiba unaropoka lolote tu utakalojisikia kwakuwa wewe ni redio?
Ulaya mpaka mashabiki walionesha msimamo wao, Hapo Bongo mashabiki wa Simba wanashereka badala ya kulipinga kwa nguvu zote.
Nafikiri kwa africa hili kombe litakuja kuongeza ari ya mchezo wa soccer, wewe kulichukia na kutaka team zinazoshiriki zifungiwe ni kwakua haumo tu.

Kwa hapa afrika ni ngumu sana team kugomea mkuu, we unafikiri Simba Sc wakipewa option ya kucheza huko kwenye hela au wafungiwe watachagua kipi??? Na mwisho wa siku Simba Sc ikifungiwa na TFF, ni ligi yenu ndo itakayopoteza mvuto.

Lakini pia ni ngumu kufungiwa kwakua mashindano ya huku yana baraka zote kutoka CAF ambao wapo juu zaidi ya TFF, tofauti na kule ulata ambako lilikuwaa ni wazo la watu binafsi.
 
"Kila bara"? Una akili timamu kweli wewe, au ndo ukishiba unaropoka lolote tu utakalojisikia kwakuwa wewe ni redio?

Nafikiri kwa africa hili kombe litakuja kuongeza ari ya mchezo wa soccer, wewe kulichukia na kutaka team zinazoshiriki zifungiwe ni kwakua haumo tu.

Kwa hapa afrika ni ngumu sana team kugomea mkuu, we unafikiri Simba Sc wakipewa option ya kucheza huko kwenye hela au wafungiwe watachagua kipi??? Na mwisho wa siku Simba Sc ikifungiwa na TFF, ni ligi yenu ndo itakayopoteza mvuto.

Lakini pia ni ngumu kufungiwa kwakua mashindano ya huku yana baraka zote kutoka CAF ambao wapo juu zaidi ya TFF, tofauti na kule ulata ambako lilikuwaa ni wazo la watu binafsi.

Kwa ajili ya maslahi ya ligi ni vizuri TFF kuchukua hiyo juhudi, hayo mashindano ya kianza baada ya miaka miwili tu utasikia timu zimeengenzwa na yanga imepenyezwa. Je hapo kutakua tena na ligi Tanzania? SIku zote waafrica huchelewa kunasa harufu ya majanga. Lakini hili la Super Ligi linakwenda moja kwa moja kuuwa Ligi zanyumbani Africa, Na chakusikitisha zaidi ni kuwa TZ ndio kwanza ligi yetu imeanza kuinuka.
 
Huwa hamuwazi vitu na kudadili vitu bila kuingiza utoto wenu, hoja ni SUPER CUP wewe umekomaa na usajili. [emoji23]
Nakuunga mkono, kuna watu humu ukisoma comment yake unajiuliza jina la mwalimu wake wa Maarifa ya Jamii.
 
Back
Top Bottom