Mwadilifu Mdhulumiwa
JF-Expert Member
- Jul 22, 2021
- 419
- 640
wewe Ni la tatu b.MAKOLO mmeanza visingizio mapema.......tuliwaambia sajilii proffesinal players......nyie mnatuletea kina kiyombo
kila bara litatoa timu!!!!!!!!!!!!!! Duuuuh!Simba anakwenda kushiriki kama klabu inayo ongoza Kwa uchawi barani Afrika Sasa Kila Bara linakwenda kutoa mwakilishi wake ambaye alikua tishio Kwa uchawi.
Tunatumai Simba haitatuangusha kwenye eneo Ilo.
Simba guvu moja.
Kashavuta sigara bwege"Kila bara" [emoji23]
Point ni kwamba walipinga kwa hoja ya msingi. Msingi ambao viongozi wa CAF sio kama hawajauona ila tamaa ya fedha ndio wameikea mbele. Lakini na mashabika kushindwa kulitambua hilo ndio la kusikitisha zaidi.Ni ngumu kuelewa, ulizungumzia mashabiki wa ulaya walivyoandamana kupinga super league kama inayotaka kuanzishwa huku Afrika. Ninachokupinga sio lazima mashabiki was ulaya wakipinga kitu na sisi tupinge, ndio maana nikaingiza pale ulaya walivyopromote maswala ya ushoga hatukusikia mashabiki was huko wakipinga.
Hoja yako ingebase kwenye sababu zetu na sio sababu kwanini mashabiki was ulaya walichofanya.