The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 41,015
- 93,277
Tunaomba mtuwekee hizo hizo zinazowezekana kuwekwa, tena mtuwekee zile mnazoona the best km mm [emoji3][emoji3][emoji117][emoji117][emoji205][emoji205][emoji90][emoji90]Sasa unataka tuonyeshe picha za shule zote zilizopo Kenya ama? There are over 9,000 secondary schools alone in Kenya. Hapo hujaweka za msingi which are even way more. How do you want us to post all those? Kuna vitu zingine common sense should apply. Not everything calls for stupid battles and arguments
Hawa hapa [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji117][emoji117][emoji205][emoji205][emoji90][emoji90]Vip wale wakenya wanao lala kwa zam
[emoji16][emoji16]Hawa hapa [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji117][emoji117][emoji205][emoji205][emoji90][emoji90]View attachment 1670855View attachment 1670856View attachment 1670857
Na Wakenya msitegemee kuja kuwa na inclusive economy km sisi never ever on this planet labda mbinguni, mana misingi ilishakosewa na Kenyatta tng kuanzisha hilo taifa, gap kati ya fukara na tajiri litazidi kukuwa maradufu, haiwezekani ije kuwa km Tz ambapo matajiri na maskini wapo mtaa mmoja wanaishi kwa amani kabisa.Vip wale wakenya wanao lala kwa zam
Kaka kuna ufukara wa kutisha Kenya usione hawa walimu wa humu JF wanajitunisha, hawana lolote hata hawa wa humu wana maisha magumu pia.[emoji16][emoji16]
hapa ni jijini nairobi, macho yote ya nyayo yapo hapa, huko turkana kupoje?[emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji117][emoji117][emoji205][emoji205][emoji90][emoji90]View attachment 1670735View attachment 1670736View attachment 1670737
Wenzako wanaona sifa kuishi south c na wazungu westlandNa Wakenya msitegemee kuja kuwa na inclusive economy km sisi never ever on this planet labda mbinguni, mana misingi ilishakosewa na Kenyatta tng kuanzisha hilo taifa, gap kati ya fukara na tajiri litazidi kukuwa maradufu, haiwezekani ije kuwa km Tz ambapo matajiri na maskini wapo mtaa mmoja wanaishi kwa amani kabisa.
Nairobi hiyo kaka, yn watu ni watumwa ndani ya nchi yao, huku Tz ukiona mtu analala nje unashangaa kweli kweli ila Kenya ni kawaida.hapa ni jijini nairobi, macho yote ya nyayo yapo hapa, huko turkana kupoje?
Hao wanaishi kwenye viaduct lkn wapo ambao hawaishi kwenye viaduct ila wanaishi huku, na wengi wa Wakenya wa humu jf wanaishi ktk mazingira haya, huwezi amini, Kenya is joke kaka [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3]wenzako wanaona sifa kuishi south c na wazungu westland
Hii ndio unaita inclusive economy?Na Wakenya msitegemee kuja kuwa na inclusive economy km sisi never ever on this planet labda mbinguni, mana misingi ilishakosewa na Kenyatta tng kuanzisha hilo taifa, gap kati ya fukara na tajiri litazidi kukuwa maradufu, haiwezekani ije kuwa km Tz ambapo matajiri na maskini wapo mtaa mmoja wanaishi kwa amani kabisa.
Wallahi Wakenya mmekwama kinyama, hiki kipicha eti ndo ushahidi wenu kwmb mnaiweza Tz [emoji3][emoji3][emoji117][emoji117][emoji205][emoji205][emoji90][emoji90]Hii ndio unaita inclusive economy? View attachment 1671032
How do you say that you live in an inclusive economy while almost a half of your population live in extreme poverty? Ama maana ya exclusive economy ndio hujui?Wallahi Wakenya mmekwama kinyama, hiki kipicha eti ndo ushahidi wenu kwmb mnaiweza Tz [emoji3][emoji3][emoji117][emoji117][emoji205][emoji205][emoji90][emoji90]
umeona huyo mmoja anasema alkua darasa la tano tanzania amerudishwa hadi class 3 kenyaWhich one of you bongos is sending their children to Kenyan schools?
Ss mbn sisi tuna akili kuliko nyinyi [emoji3][emoji3][emoji3][emoji117][emoji117][emoji205][emoji205][emoji204][emoji204][emoji86][emoji86][emoji87][emoji87][emoji90][emoji90]umeona huyo mmoja anasema alkua darasa la tano tanzania amerudishwa hadi class 3 kenya