Waterloo
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 25,356
- 38,922
huku ndio wapi?mbona huku upo tu tangu juzi na siku za nyuma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huku ndio wapi?mbona huku upo tu tangu juzi na siku za nyuma
huko ulipo ni wapi? labda kama mnatumia majenereta kwenye mikoa ya kusini huko na kigoma .wanaopata kwenue gridi ya taifa hakuna umeme tangu asubuhiNchi nzima Sijui umemaanisha nini? Nimelazimika kuhakiki, huku niliko upo na haujakatika tangu Asubuhi.
Sina lakumjibu mpuuziNakumbuka hata Kenya Nyani walifanya mbaya umeme nchi nzima ukakatika.
Monkey causes nationwide blackout in Kenya - CNN
Kwanza mashindano kufanyikia kenya nihovyo kabisaMK254 KAKA embu naomba msaada wa jina la forum huko kenya kama jamii forums,embu tusaidieni kupaza sauti kuhusu hiyo cecafa challenge cup,wakiingia uwanjani hawa libya muwazomee kwa nguvu,let's shame CECAFA and main sponsor(azam tv) for inviting those slave masters
View attachment 641112
JamiiForums.comMK254 KAKA embu naomba msaada wa jina la forum huko kenya kama jamii forums,embu tusaidieni kupaza sauti kuhusu hiyo cecafa challenge cup,wakiingia uwanjani hawa libya muwazomee kwa nguvu,let's shame CECAFA and main sponsor(azam tv) for inviting those slave masters
View attachment 641112
Akikujibu unitag mkuu!Nakumbuka hata Kenya Nyani walifanya mbaya umeme nchi nzima ukakatika.
Monkey causes nationwide blackout in Kenya - CNN
Wameuhamishia kwenye Viwanda
Simiyu, na tunatumia grid ya taifa.huko ulipo ni wapi? labda kama mnatumia majenereta kwenye mikoa ya kusini huko na kigoma .wanaopata kwenue gridi ya taifa hakuna umeme tangu asubuhi
unabishana na Tangazo la Tanesco?Simiyu, na tunatumia grid ya taifa.
hata mimi nashangaa sijaona umeme ukikatika hukuMbona huku umeme upo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Dar si ndio TanzaniaWakiona dar haupo wanajua ni nchi nzima
Ndiyo nchi ya viwanderrHivi kwa mtindo huu tutafika kweli kwenda kwenye uchumi wa viwanda na treni za kutumia umeme ikiwa hitilafu moja inatia nchi yote kwenye kiza.
--------------------------------------------------------------
Tanzania was hit by a country-wide blackout early on Thursday due to a technical glitch in its national power grid, the country’s state-run electricity supplier said.
“A technical fault ... caused all regions connected to the national power grid to lose electricity supply,” the Tanzania Electric Supply Company (Tanesco) said in a statement.
The outage occurred at around 0400 GMT (7am local time) on Thursday, and it was still trying to fix the fault, the company said.
Partial blackouts occur regularly in Tanzania, which relies on hydro, natural gas and heavy fuel oil to generate electricity. Many businesses use power generators as backups, pushing up their operating costs.
Tanzania invited bids in August to build a 2,100-megawatt (MW) hydroelectric plant in a World Heritage site renowned for its animal population, despite opposition from conservationists to the long-delayed project.
Tanzanian president John Magufuli is personally backing the project at Stiegler’s Gorge in the Unesco-designated Selous Game Reserve and sees it as vital to diversify Tanzania’s energy mix and end chronic electricity shortages.
The project would more than double the country’s current power generation capacity of around 1,500MW. The government did not say how much the project would cost and how it would raise financing, but wants it completed within three years.
Tanzania’s energy infrastructure has suffered from decades of underinvestment, neglect and corruption allegations, and investors have long complained that the lack of reliable power hurts business in East Africa’s third biggest economy.
Tanzania suffers national power outage
Hapana, ila ndio Ukweli huo. Umeme haujakatika leo.unabishana na Tangazo la Tanesco?