Afrika bana, nchi yote ya Tanzania umeme umekatika

Afrika bana, nchi yote ya Tanzania umeme umekatika

Nchi nzima Sijui umemaanisha nini? Nimelazimika kuhakiki, huku niliko upo na haujakatika tangu Asubuhi.
huko ulipo ni wapi? labda kama mnatumia majenereta kwenye mikoa ya kusini huko na kigoma .wanaopata kwenue gridi ya taifa hakuna umeme tangu asubuhi
 
MK254 KAKA embu naomba msaada wa jina la forum huko kenya kama jamii forums,embu tusaidieni kupaza sauti kuhusu hiyo cecafa challenge cup,wakiingia uwanjani hawa libya muwazomee kwa nguvu,let's shame CECAFA and main sponsor(azam tv) for inviting those slave masters

azam sponsors.jpg
 
Halafu kukatika ghafla kwa umeme kunaleta madhara makubwa sana hadi vifo. Kuna wakati nilisikia tetesi kuwa watoto kadhaa pale mount meru waliokuwa kwenye incubators walifariki kwa katizo la umeme siku ile waziri husika alifoka na kutimua watu kwa style ya remote kama waume wenza flani hivi . Na je siku hizi zote unapokatika kila mara je kwenye mahospital yetu ya serikali yasiyo na standby generators nini hutokea. Imagine uko theatre sasa [emoji1495]. Hii habari ya mount meru ilifunikwa kwa gunia jeusi ila watoto walikufa. Hata wakae kimya Umeme kukatika katika hivi kuna madhara makubwa yanatokea kuliko kuharibikiwa samaki na nyama kwenye friji zetu.
 
MK254 KAKA embu naomba msaada wa jina la forum huko kenya kama jamii forums,embu tusaidieni kupaza sauti kuhusu hiyo cecafa challenge cup,wakiingia uwanjani hawa libya muwazomee kwa nguvu,let's shame CECAFA and main sponsor(azam tv) for inviting those slave masters

View attachment 641112
Kwanza mashindano kufanyikia kenya nihovyo kabisa
hayana mvuto kabisa
yamedoda kupindukia
Na tayari Zimbabwe walisha jitoa
maana Usalama Wahovyo
 
Waziri Mwijage kasema wameanzisha viwanda 3000, kumbe vyote havitumii umeme?
 
Mambo ya kitaalamu jameni hayahitaji siasa...ukisikia Waziri anasema ooh umeme ukikatika kazi hakuna manake hii sio taaluma yeye aweke sera na upatikanaji wa pesa lakini hivi hivi hali halii mbaya kwasasa maeneo mengi umeme hakuna kabisa.
 
Kama umeme ni wa mgao wananchi tupewe taarifa ,ama kama kuna matengenezo pia tutaarifiwe
 
Hivi kwa mtindo huu tutafika kweli kwenda kwenye uchumi wa viwanda na treni za kutumia umeme ikiwa hitilafu moja inatia nchi yote kwenye kiza.

--------------------------------------------------------------

Tanzania was hit by a country-wide blackout early on Thursday due to a technical glitch in its national power grid, the country’s state-run electricity supplier said.

“A technical fault ... caused all regions connected to the national power grid to lose electricity supply,” the Tanzania Electric Supply Company (Tanesco) said in a statement.

The outage occurred at around 0400 GMT (7am local time) on Thursday, and it was still trying to fix the fault, the company said.

Partial blackouts occur regularly in Tanzania, which relies on hydro, natural gas and heavy fuel oil to generate electricity. Many businesses use power generators as backups, pushing up their operating costs.

Tanzania invited bids in August to build a 2,100-megawatt (MW) hydroelectric plant in a World Heritage site renowned for its animal population, despite opposition from conservationists to the long-delayed project.

Tanzanian president John Magufuli is personally backing the project at Stiegler’s Gorge in the Unesco-designated Selous Game Reserve and sees it as vital to diversify Tanzania’s energy mix and end chronic electricity shortages.



The project would more than double the country’s current power generation capacity of around 1,500MW. The government did not say how much the project would cost and how it would raise financing, but wants it completed within three years.

Tanzania’s energy infrastructure has suffered from decades of underinvestment, neglect and corruption allegations, and investors have long complained that the lack of reliable power hurts business in East Africa’s third biggest economy.

Tanzania suffers national power outage
Ndiyo nchi ya viwanderr
 
Back
Top Bottom