Afrika haitaendelea kwa kukataa kuungana

Afrika haitaendelea kwa kukataa kuungana

Shida binadamu naturally ni mchoyo na mbinafsi anajipenda yeye na wa kwake kuliko wengine..., Hivyo huenda muda ukifika binadamu watapata uelewa kwamba kwa kuungana wote tutapata zaidi kuliko kwa kutokuungana..., Pia gundua kwamba system ya Ubepari na Competition inaenda against muunganiko bali ni individuality na kuwa opportunistic....

Tuanzie wapi ?, Tunahitaji misingi ambayo itahakikisha wote walioungana wanafaidika na inaonekana kabisa kwamba wanafaidika sababu unaweza ukatengeneza misingi leo ya muungano kesho akaja chizi akavunja muungano (hivyo ni wananchi wenyewe kupenda muungano na kuishi kama ndugu / binadamu na sio viongozi ku-force huo muungano ambao wananchi hawaoni faida yake)

Safi sana mkuu.. nzuri sana hii kiongozi
 
Tuweke wazi ndugu kiongozi gani wa kiafrica kauliwa na Mzungu
 
Tunashindwa kipi? Mkuu unafikiri tunaweza kukifanya machafuko na kuuana wenyewe kwa wenyewe yasitokee
Ni ngumu sababu Hatujafikia level ya ubinanadamu yaani maturity.
 
Wewe unaionaje!

Hiyo miungano ni miungano kweli au kuna mkono wa Mzungu.. ipitie upya matukio yaliyotokea libya na mataifa mengine imechukua hatua gani! Hiyo miungano mkuu
Gadafi aliuliwa na watu wake sababu alishindwa kuwaunganisha.
Ukiwaunganisha watu wako ni ngumu Sana kuuwawa au kusambaratika case study ni China na Iran
 
PUTIN: AFRIKA HAITOKAA IWE HURU

"Afrika haitokaa iwe HURU. Waafrika wanawaamini Wazungu, Wamarekani na Wachina zaidi kuliko wanavyojiamini wao wenyewe....hawajiamini wao wenyewe hata kidogo.

Mzungu au mtu mweupe anafanya makosa Afrika tena makosa ya jinai ila hakuna hatua za kisheria zitakazochukuliwa dhidi yake kwa sababu mamlaka za Afrika zinatutazama sisi weupe kama miungu, jambo ambalo liko mbali sana na ukweli.

Mtu mweusi (Mwafrika) anaweza kuteswa, kunyanyaswa na hata kuuawa kinyama Ulaya lakini hakuna mamlaka yoyote ya Afrika inayoweza kuuliza wala kuhoji.

Waafrika wamejikubali na kuamini kuwa wao ni watu DHAIFU wasio na tumaini haswa linapokuja suala la kupambana na Wazungu, Wamarekani na Wachina. Mzungu, Mmarekani au Mchina anaweza kumdhalilisha, kumtukana, kumpiga na hata kumuua Mwafrika katika ardhi ya Afrika tena kwenye nchi yake au nje ya Afrika na Viongozi wa Afrika wataliona hilo na kila mmoja atajiweka kana kwamba hakuona wala kusikia.

Adui wa Mwafrika ni Mwafrika. Mwafrika mpe silaha, pesa au ahadi ya madaraka madogo tu kwa sharti moja tu la kumuua Mwafrika mwenzake, atamuua kinyama kuliko ulivyotarajia. Adui wa Mwafrika sio mzungu, sio Mmarekani wala sio mchina. Adui wa Mwafrika ni AKILI na fikra zake na ndio maana leo Wazungu, Wamarekani, Waarabu na Wachina wameitawala tena Afrika kwa kutumia dini, Elimu, uchumi, teknolojia, siasa na utamaduni.

Waafrika ni watu wanaochukiana na wasioaminiana na ndio maana Afrika haiwezi kuungana na haitokaa iungane kuwa na dola imara. Chuki ya wenyewe kwa wenyewe na utengano ndio inayowapa wakoloni wao nguvu ya kuendelea kunyonya rasilimali za Afrika."

Je unakubaliana na Rais Vladmir Putin?
Je ni kipi unaweza kuongeza kuhusu Afrika?

Quote
 
Kaburu Botha 1988 aliposema haya akashutumiwa vikali Sana eti maneno ya kibaguzi, hapo pana uongo upi sasa Hali alishafanya study.Alisema.
"Mtu mweusi hana uwezo wa kuongoza jamii, mpe madaraka atahakikisha anahamishia hazina ya nchi kwao, akiendekeza ukabila, udini, ukanda. Mpe silaha atojali nani yuko mbele yake watauwana wao kwa wao. "
Soma history utowahi kuta mtawala wa kikoloni mfano leopardville, botha, magavana, nk wamewahi iba jilimbikizia Mali kwa kujenga makwao makasri Kama gabolite, Chato, kabaraki, kasri la zuma, kuficha pesa nje kama Mobutu, Mugabe, abacha, nk.
Huu ni ugonjwa mkubwa sana kwa watawala wa kiafrica. Halafu kutwa kucha kusingizia wazungu juu ya kushindwa kwetu kujiletea maendeleo Hali wao ndio visababifu wakuu wa kutoendelea kwa mwafrika ikiwemo chanzo kikuu cha vita na machafuko yasiyokoma afrika,kwa kuendekeza,udini, ukabila, ufisadi, kuficha pesa nje ya nchi,nk huku wakiwaacha wananchi wao wakitopea kwenye ufukara.Kama wakoloni waliweza tuletea maendeleo wao wameshindwa nn kwa raslimali hizihizi?
 
PUTIN: AFRIKA HAITOKAA IWE HURU

"Afrika haitokaa iwe HURU. Waafrika wanawaamini Wazungu, Wamarekani na Wachina zaidi kuliko wanavyojiamini wao wenyewe....hawajiamini wao wenyewe hata kidogo.

Mzungu au mtu mweupe anafanya makosa Afrika tena makosa ya jinai ila hakuna hatua za kisheria zitakazochukuliwa dhidi yake kwa sababu mamlaka za Afrika zinatutazama sisi weupe kama miungu, jambo ambalo liko mbali sana na ukweli.

Mtu mweusi (Mwafrika) anaweza kuteswa, kunyanyaswa na hata kuuawa kinyama Ulaya lakini hakuna mamlaka yoyote ya Afrika inayoweza kuuliza wala kuhoji.

Waafrika wamejikubali na kuamini kuwa wao ni watu DHAIFU wasio na tumaini haswa linapokuja suala la kupambana na Wazungu, Wamarekani na Wachina. Mzungu, Mmarekani au Mchina anaweza kumdhalilisha, kumtukana, kumpiga na hata kumuua Mwafrika katika ardhi ya Afrika tena kwenye nchi yake au nje ya Afrika na Viongozi wa Afrika wataliona hilo na kila mmoja atajiweka kana kwamba hakuona wala kusikia.

Adui wa Mwafrika ni Mwafrika. Mwafrika mpe silaha, pesa au ahadi ya madaraka madogo tu kwa sharti moja tu la kumuua Mwafrika mwenzake, atamuua kinyama kuliko ulivyotarajia. Adui wa Mwafrika sio mzungu, sio Mmarekani wala sio mchina. Adui wa Mwafrika ni AKILI na fikra zake na ndio maana leo Wazungu, Wamarekani, Waarabu na Wachina wameitawala tena Afrika kwa kutumia dini, Elimu, uchumi, teknolojia, siasa na utamaduni.

Waafrika ni watu wanaochukiana na wasioaminiana na ndio maana Afrika haiwezi kuungana na haitokaa iungane kuwa na dola imara. Chuki ya wenyewe kwa wenyewe na utengano ndio inayowapa wakoloni wao nguvu ya kuendelea kunyonya rasilimali za Afrika."

Je unakubaliana na Rais Vladmir Putin?
Je ni kipi unaweza kuongeza kuhusu Afrika?

Quote

Huo ni mtazamo wake kuwa hatuwezi kuungana ila hakuna kinachotuzuia . Ni swala la kuamua tu
 
Kaburu Botha 1988 aliposema haya akashutumiwa vikali Sana eti maneno ya kibaguzi, hapo pana uongo upi sasa Hali alishafanya study.Alisema.
"Mtu mweusi hana uwezo wa kuongoza jamii, mpe madaraka atahakikisha anahamishia hazina ya nchi kwao, akiendekeza ukabila, udini, ukanda. Mpe silaha atojali nani yuko mbele yake watauwana wao kwa wao. "
Soma history utowahi kuta mtawala wa kikoloni mfano leopardville, botha, magavana, nk wamewahi iba jilimbikizia Mali kwa kujenga makwao makasri Kama gabolite, Chato, kabaraki, kasri la zuma, kuficha pesa nje kama Mobutu, Mugabe, abacha, nk.
Huu ni ugonjwa mkubwa sana kwa watawala wa kiafrica. Halafu kutwa kucha kusingizia wazungu juu ya kushindwa kwetu kujiletea maendeleo Hali wao ndio visababifu wakuu wa kutoendelea kwa mwafrika ikiwemo chanzo kikuu cha vita na machafuko yasiyokoma afrika,kwa kuendekeza,udini, ukabila, ufisadi, kuficha pesa nje ya nchi,nk huku wakiwaacha wananchi wao wakitopea kwenye ufukara.Kama wakoloni waliweza tuletea maendeleo wao wameshindwa nn kwa raslimali hizihizi?

Tuna tatzo dogo tu ambalo haliwezi kutukwamisha.. kujilimbikizia mali,pesa na viongozi wanaamini wasipokuwa viongozi hawawezi kula neema za nchi.. ila tukitoa tofauti zetu yaani tungefika mbali na kwa mda mchache sana
 
Tuna tatzo dogo tu ambalo haliwezi kutukwamisha.. kujilimbikizia mali,pesa na viongozi wanaamini wasipokuwa viongozi hawawezi kula neema za nchi.. ila tukitoa tofauti zetu yaani tungefika mbali na kwa mda mchache sana
Unaweza itoa nature
 
Back
Top Bottom