Afrika inalaani na kukemea: Baraza la Maaskofu Kanisa Katoliki nchini Nigeria nao wameungana na Malawi, Kenya, Zambia kuhoji waraka wa Papa Francis

Afrika inalaani na kukemea: Baraza la Maaskofu Kanisa Katoliki nchini Nigeria nao wameungana na Malawi, Kenya, Zambia kuhoji waraka wa Papa Francis

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Wenye dini yetu ndio tupo mstari wa mbele kuhoji, YES!! Afrika ndio sehemu yenye wakatoliki wengi zaidi duniani na hatuwezi kukubaliana na huu waraka unaoenda kinyume kabisa na maadili yetu,

Pongezi ziende kwa nchi za Afrika ambazo zipo mstari wa mbele kututetea waumini, Walianza Malawi, akaja Zambia, Kenya na sasa ni Nigeria.

HAWAJAKURUPUKA !! Nchi hizi wanaongea na kukielewa kiingereza kilichotumika kwenye chapisho la waraka kuliko wewe mtanzania unaetetea kwamba waraka haujaeleweka vizuri ilhali kiingereza kinakupa taabu.

Waraka original upo katika tovuti ya makao makuu ya kanisa Katoliki, Vatican >> Dichiarazione “Fiducia supplicans” sul senso pastorale delle benedizioni del Dicastero per la Dottrina della Fede

GB0dDXlXAAAMUAd.jpeg
 
Papa ndie mwenye kanisa, kanisa ni mali ya warumi/waitalia.

Wenye kanisa wamesema lazima kubariki ndoa za mashoga, lazima mashoga wapate baraka za mungu na ni lazima hilo halina ubishani.

Sasa kama kuna kiongozi yeyote anaona hataki aachane na kanisa la watu aanzishe la kwake.

Papa ndie mmiliki wa kanisa, chochote anachokisema lazima kitekelezwe, yeye ndie baba mtakatifu, mtu pekee mtakatifu hapa Duniani ambae anaongea na Mungu moja kwa moja hivyo aliyoyasema ni maelekezo ya Mungu mwenyewe, anataka mashoga apate baraka zake.

Kama kuna kiongozi wa kanisa, awe padri, askofu, Katekista ama kadinali ambae hakubaliani na maelekezo ya baba mtakatifu aondoke, aache kanisa la baba mtakatifu papa Francis, aende aanzishe kanisa lake.

Papa ndie msemaji wa kanisa, neno lake ni amri, ni utekelezaji tu.

Anaeona hawezi aachane na kanisa akaanzishe la kwake.
 
Shida ya watz walio wengi english tumefundishwa kwa kiswahili, hapo ndo penye tatizo kubwa.
Na ukiona nchi zinazongea kiingereza wanapinga ujue kwamba mtanzania anaetetea kwamba waraka haujaeleweka vizuri ana matatizo kwenye kuielewa lugha.
 
Wenye dini yetu ndio tupo mstari wa mbele kuhoji, YES!! Afrika ndio sehemu yenye wakatoliki wengi zaidi duniani na hatuwezi kukubaliana na huu waraka unaoenda kinyume kabisa na maadili yetu...
Huyu papa aliyepo sasa ni papa wa 112 kama utabiri wa papaMalachy kwamba hadi wakati huo wa ofisi ya pontiff kukaliwa na papa wa 112 atakuwa ni virus itakayosababisha msambaratiko wa hicho kiti.

Afrika tuna utamaduni wa kulinda haki ya maumbile bila ukinyume sawa na asili ambayo ni Mungu.

Tulinde haki na usafi wa kuendeleza uzao kwa wivu mkubwa na hivyo tu ndivyo tunaweza kuondoa laana katika ardhi yetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wenye dini yetu ndio tupo mstari wa mbele kuhoji, YES!! Afrika ndio sehemu yenye wakatoliki wengi zaidi duniani na hatuwezi kukubaliana na huu waraka unaoenda kinyume kabisa na maadili yetu...
2018 Tuliwatahadharisha lakini kuwa "ikiwa Yesu/Mungu hakubadili chochote isipokuwa alitimiliza sheria zingatia neno kutimiliza "perfection" kufanya sheria iwe bora zaidi, je Papa anapata wapi kiburi cha kubadili Neno/Kweli ya Mungu Muumba mbingu na nchi?" ila mlitukejeli kuwa sisi ni Wasabato, Wapagani mara oooh tunalionea wivu kanisa takatifu na la kipekee duniani sasa kikowapi?

MATHAYO 5:17-18.
Msidhani ya kuwa nalikuja kuitangua torati au manabii; la, sikuja kutangua, bali kutimiliza.

Kwa maana, amin,
nawaambia, Mpaka mbingu na nchi zitakapoondoka, yodi moja wala nukta moja ya torati haitaondoka, hata yote yatimie.

"Madai ya kubadili Biblia ni kuwa dunia imebadilika inabidi iendane na nyakati"

Mungu huwa habadiliki kamwe!

WAEBRANIA 13:8.
Yesu Kristo ni yeye yule, jana na leo na hata milele.


Simameni katika imani mkimuabudu Mungu katika Roho na Kweli wala si kumfata Binadamu.

YOHANA 4:24.
Mungu ni Roho, nao wamwabuduo yeye imewapasa kumwabudu katika roho na kweli.

Misingi ya Neno la Mungu hujengwa katika amri 10 za Mungu na shuhuda za Mitume.

ISAYA 8:19-20.
Na wakati watakapokuambia, Tafuta habari kwa watu wenye pepo na kwa wachawi; waliao kama ndege na kunong’ona; je! Haiwapasi watu kutafuta habari kwa Mungu wao? Je! Waende kwa watu waliokufa kwa ajili ya watu walio hai?

Na waende kwa sheria na ushuhuda; ikiwa hawasemi sawasawa na neno hili, bila shaka kwa hao hapana asubuhi.

Kweli leo hii Wacha Mungu wahalalishwe kupakuana matope, yani nyumba za Wacha Mungu zinuke nnya, afu waovu tutawahubiri nini na watajifunza nini kwetu sisi Wacha Mungu?

Tubadilike, inshu za mapokeo ya dini zisitufanye tukose maarifa kujua jema na baya, Mungu atusaidie, Amen.
 
Papa ndie mwenye kanisa, kanisa ni mali ya warumi/waitalia.

Wenye kanisa wamesema lazima kubariki ndoa za mashoga, lazima mashoga wapate baraka za mungu na ni lazima hilo halina ubishani.

Sasa kama kuna kiongozi yeyote anaona hataki aachane na kanisa la watu aanzishe la kwake.

Papa ndie mmiliki wa kanisa, chochote anachokisema lazima kitekelezwe, yeye ndie baba mtakatifu, mtu pekee mtakatifu hapa Duniani ambae anaongea na Mungu moja kwa moja hivyo aliyoyasema ni maelekezo ya Mungu mwenyewe, anataka mashoga apate baraka zake.

Kama kuna kiongozi wa kanisa, awe padri, askofu, Katekista ama kadinali ambae hakubaliani na maelekezo ya baba mtakatifu aondoke, aache kanisa la baba mtakatifu papa Francis, aende aanzishe kanisa lake.

Papa ndie msemaji wa kanisa, neno lake ni amri, ni utekelezaji tu.

Anaeona hawezi aachane na kanisa akaanzishe la kwake.
Eti anaongea na Mungu jiheshimu wewe
 
Kwa hii issue Papa anapaswa kujiuzulu kwa kweli!ni muhimu sana kulinda heshima ya Kanisa
 
Back
Top Bottom