Afrika inalaani na kukemea: Baraza la Maaskofu Kanisa Katoliki nchini Nigeria nao wameungana na Malawi, Kenya, Zambia kuhoji waraka wa Papa Francis

Afrika inalaani na kukemea: Baraza la Maaskofu Kanisa Katoliki nchini Nigeria nao wameungana na Malawi, Kenya, Zambia kuhoji waraka wa Papa Francis

Papa ndie mwenye kanisa, kanisa ni mali ya warumi/waitalia.

Wenye kanisa wamesema lazima kubariki ndoa za mashoga, lazima mashoga wapate baraka za mungu na ni lazima hilo halina ubishani.

Sasa kama kuna kiongozi yeyote anaona hataki aachane na kanisa la watu aanzishe la kwake.

Papa ndie mmiliki wa kanisa, chochote anachokisema lazima kitekelezwe, yeye ndie baba mtakatifu, mtu pekee mtakatifu hapa Duniani ambae anaongea na Mungu moja kwa moja hivyo aliyoyasema ni maelekezo ya Mungu mwenyewe, anataka mashoga apate baraka zake.

Kama kuna kiongozi wa kanisa, awe padri, askofu, Katekista ama kadinali ambae hakubaliani na maelekezo ya baba mtakatifu aondoke, aache kanisa la baba mtakatifu papa Francis, aende aanzishe kanisa lake.

Papa ndie msemaji wa kanisa, neno lake ni amri, ni utekelezaji tu.

Anaeona hawezi aachane na kanisa akaanzishe la kwake.
Umeongea ukweli mtupuu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Watu weusi mlioletewa dini kwa mikakati ya watu weupe mnajiona mna dini kuliko wenye mikakati yao?
Wanaorun dunia wakiamua lao, hamuwezi kuwazuia. If you can't fight them join them.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mtu dini kaletewa, leo anajiona yeye ndo mwenye dini kuliko walio leta, km si upumbavu na ujinga ila nn?
 
Kwani Vice President na Spika Tulia wanasemaje!!!

Au wanaendeleza msimamo wao kama ilivyokua kwa waraka wa DP-World...
 
Papa ndiyo kwanza anaanza.

Kawaambia wakiritimba wa Vatican waache kukumbatia itikadi zisizobadilika ambazo zinawazuia kuelewa ukweli wa leo.

Maana yake ni kwamba kuna mabadiliko zaidi yanakuja.

Huu ni mwanzo tu.

Ukishaelewa hakuna Mungu, na hizi dini ni vyama vya siasa za kale zilizovishwa joho la utakatifu wa Mungu asiyepo tu, haya mengine hayatakushangaza.

 
Shida ya watz walio wengi english tumefundishwa kwa kiswahili, hapo ndo penye tatizo kubwa.
ndugu kuna wa2 wajua kiingereza...lakini uwezi amini bado wanapotosha ukweli kisa wao ni wakatoliki,,,yaani dagaa{muumini anajifanya anajua kuliko kambale-askofu}
 
Papa ndie mwenye kanisa, kanisa ni mali ya warumi/waitalia.

Wenye kanisa wamesema lazima kubariki ndoa za mashoga, lazima mashoga wapate baraka za mungu na ni lazima hilo halina ubishani.

Sasa kama kuna kiongozi yeyote anaona hataki aachane na kanisa la watu aanzishe la kwake.

Papa ndie mmiliki wa kanisa, chochote anachokisema lazima kitekelezwe, yeye ndie baba mtakatifu, mtu pekee mtakatifu hapa Duniani ambae anaongea na Mungu moja kwa moja hivyo aliyoyasema ni maelekezo ya Mungu mwenyewe, anataka mashoga apate baraka zake.

Kama kuna kiongozi wa kanisa, awe padri, askofu, Katekista ama kadinali ambae hakubaliani na maelekezo ya baba mtakatifu aondoke, aache kanisa la baba mtakatifu papa Francis, aende aanzishe kanisa lake.

Papa ndie msemaji wa kanisa, neno lake ni amri, ni utekelezaji tu.

Anaeona hawezi aachane na kanisa akaanzishe la kwake.
Kanisa Katoliki ni la Yesu Kristu, sio la Papa.
 
Wenye dini yetu ndio tupo mstari wa mbele kuhoji, YES!! Afrika ndio sehemu yenye wakatoliki wengi zaidi duniani na hatuwezi kukubaliana na huu waraka unaoenda kinyume kabisa na maadili yetu,

Pongezi ziende kwa nchi za Afrika ambazo zipo mstari wa mbele kututetea waumini, Walianza Malawi, akaja Zambia, Kenya na sasa ni Nigeria.

HAWAJAKURUPUKA !! Nchi hizi wanaongea na kukielewa kiingereza kilichotumika kwenye chapisho la waraka kuliko wewe mtanzania unaetetea kwamba waraka haujaeleweka vizuri ilhali kiingereza kinakupa taabu.

Waraka original upo katika tovuti ya makao makuu ya kanisa Katoliki, Vatican >> Dichiarazione “Fiducia supplicans” sul senso pastorale delle benedizioni del Dicastero per la Dottrina della Fede



View attachment 2849148
Natamani nimpige papa kwa radi hadharani nimkaushe hapo hapo, dunia ikiona itetemeke
 
Back
Top Bottom