Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muda utaongea ni nani mkweli,mradi tu wasije kuzikana kauli zao za awali.Naibu Rais, Rigathi Gachagua amesema Serikali ya Awamu ya 5 imerithi Uchumi mbaya kutoka awamu iliyopita na wanatafuta suluhu ya kudumu
Amewataka Wananchi kuwa na subira maana Ndani ya Siku 90 hadi 100 Uchumi utaimarika
Sio marais tu hata wakuu wa taasisi wakiteulia huponda waliotangulia. hizo ni gia za kusnzia tena za hovyo tu. zamu yake naye itakuja.Wakenya hawana uswahiliswahili sana, huenda wanasema ukweli, sio sisi wazee wa ngwasuma ni "sound" mpaka Yesu anatia timu.
Huenda hata sisi Wapinzani tukishaichukua Nchi tutasema tupewe muda CCM imeifilisi Nchi.sio marais tu hata wakuu wa taasisi wakiteulia huponda waliotangulia. hizo ni gia za kusnzia tena za hovyo tu. zamu yake naye itakuja.