Afrika kila Rais akiingia madarakani anasema amekuta hali ya uchumi ni mbaya. Je, ni lini uchumi wetu utaimarika?

Afrika kila Rais akiingia madarakani anasema amekuta hali ya uchumi ni mbaya. Je, ni lini uchumi wetu utaimarika?

Hakuna mtawala yeyeto wa kiafrica anaweza leta mabadiliko kwenye Jamii yake hayo ni maneno ya ugeni wa ofisi tu kama waliowatangulia
 
Nimewashukuru wakenya wamejitambua mambo ya kuingia barabarani kufa kwa faida ya fahari wawili ukiacha watoto wako wanakuwa chokoraa hali watoto wao wanasoma Paris wameona yamepitwa na wakati,
 
Hakuna mtawala yeyeto wa kiafrica anaweza leta mabadiliko kwenye Jamii yake hayo ni maneno ya ugeni wa ofisi tu kama waliowatangulia
Aisee ila kadri jinsi kizazi kinavyoongezeka kinaweza fanya mageuzi baadae
 
Nimewashukuru wakenya wamejitambua mambo ya kuingia barabarani kufa kwa faida ya fahari wawili ukiacha watoto wako wanakuwa chokoraa hali watoto wao wanasoma Paris wameona yamepitwa na wakati,
Kabisaa
 
Naibu Rais, Rigathi Gachagua amesema Serikali ya Awamu ya 5 imerithi Uchumi mbaya kutoka awamu iliyopita na wanatafuta suluhu ya kudumu.

Amewataka Wananchi kuwa na subira maana Ndani ya Siku 90 hadi 100 Uchumi utaimarika.

Excuses za ku buy time,baadae watakuja na sababu zingine..

Kwa hiyo ndani ya siku 100 ndio umeme utashuka,vyakula vitashuka,mafuta yatashuka na ufisadi utaishia?

Ni wajinga tuu ndio wanaweza wategemea wanasiasa kuimarisha maisha yao..
 
Na Mwendazake alisemaga hivyo hivyo lakini mwisho wa siku Vyuma vikakaza zaidi akabadili GIA na kuja na hadithi za wapiga dili 😆😆..

At least SSH hajaponda ila alisema Hali ya uchumi sio nzuri Sana..
 
Excuses za ku buy time,baadae watakuja na sababu zingine..

Kwa hiyo ndani ya siku 100 ndio umeme utashuka,vyakula vitashuka,mafuta yatashuka na ufisadi utaishia?

Ni wajinga tuu ndio wanaweza wategemea wanasiasa kuimarisha maisha yao..
Ni jibu la kihun eti tupen miez mitatu
 
Ndio ngoma yetu sharti Kila Rais lazima aimbe
 
Yes mkuu, Kila Rais akiingia madarakani anasema amekuta HAZINA nyeupe - hivi huwa ni kweli ama na wao huzimalizia zilizozikuta ?
 
Wanatumiaga hayo maneno kama kinga, ili wakiwa madarakani na wananchi wakiishi kenge life ionekane sio kosa lao bali waliowatangulia
 
Back
Top Bottom