Hongera ila sabinus nomaMie napenda commedy sana kwa kuwa nilikuwa Nina ndoto za kuwa stand up commedian. Nilikuw naandika scrip za commedy nzuri tu. .
Bahati nzuri mwaka 2018 nilikuw Niko kwenye circle nzuri ya watu maarufu America. One of a friend alikuw pia ana friend ambae ni commedian nakumbuka nilimuonyesha some scripts akasema good writing tho alinambia Sina maneno mengi ya kingereza. Ila alinipa USD 4000 nimuuzie commedy zangu. .
Nilikuwa pia nina autograph za two commedian one of them is well known. Nikaja ziuza kwa jamaa mmoja Yuko Switzerland. .
Ila now hapa home nimebakia na autograph ya mzee mmoja maarufu pia anaitwa Robert Crumb. .
Dah pole mkuu, Trevor Noah hajakichekesha basi hujui Comedy kweli...Huyo anahost shows USA...Hakuna hajanichekesha
🤣 UK anaperform wapi? Tuonyeshe video clips zakeSabinus bongo mnahela ya kumlipa?
Mtu daily show UK
Dah pole mkuu, Trevor Noah hajakichekesha basi hujui Comedy kweli...Huyo anahost shows USA...
🤣🤣🤣 Umepiga k vant ngap mzeeHongera ila sabinus noma
Mama kalale usiku huu 😬Mleta uzi umekaza sana fuvu. Huyo Sabinus hafahamiki kabisa. Pia wanaosema Trevor Noah anachekesha nashangaa sana. Huyo Noah anachekesha mabeberu ambao mambo yanayowachekesha hayana uhalisia wa maisha yetu. Mimi naona wachekeshaji wa kinaijeria wengi wanaweza. Hata hapa kwetu nachekeshwa mno na mtu anaitwa maneno 10 huwa anaonekana wasafi.
Wanigeria jokes zao kwanza ni so straight, Trevor Noah kama hujui jokes ndo utaishia kuwaangalia hao kina Sabinus....T. Noah ni level ya kina Kelvin Halt...Huyo Sabinus hamfikii hata BlacksonKama lugha inakupiga chenga huwezi ona T. Noah anachekesha nini. Sabinus anabebwa na population kubwa ya Nigeria hivyo ana mashabiki wengi kule, na ni kawaida yenu kitu kikitrend Nigeria mnaona ndio the best hapa Afrika
Sasa wewe hujui hata Cheka tu unajua Sabinus 🤣🤣Cheka tu ndo nn?
Mnigeria? Nimesema Trevor Noah wa Afrika kusini.Haya weka sasa na wewe show za huyo Mnigeria ambaye huwa hafanyi show za Uchochoroni ili na sisi tuone!
Acha upuuzi weweMama kalale usiku huu 😬
Hawa nao ni moto wa kuotea mbaliSean BridonView attachment 2413231
Msearch tu Twitter utaona ratiba yake ya December UK TOUR miji Anayo perform[emoji1787] UK anaperform wapi? Tuonyeshe video clips zake
Trevor Noah is earnings 16 millions USD per commedy central peke yake acha other means of money. Kazi yake inamlipa vyema kaitendea haki. .
Wewe umekaza nini tako?Mleta uzi umekaza sana fuvu. Huyo Sabinus hafahamiki kabisa. Pia wanaosema Trevor Noah anachekesha nashangaa sana. Huyo Noah anachekesha mabeberu ambao mambo yanayowachekesha hayana uhalisia wa maisha yetu. Mimi naona wachekeshaji wa kinaijeria wengi wanaweza. Hata hapa kwetu nachekeshwa mno na mtu anaitwa maneno 10 huwa anaonekana wasafi.